Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8686 results for Mwandishi :

  1. Simba, Yanga zatoa salamu za pole ajali ya ndege Bukoba

    Hadi sasa jumla ya watu 19 wamefariki dunia huku wengine wakiokolewa wakiwa na majeraha mbalimbali na tayari wanaendelea kupatiwa matibabu mkoani humo.

  2. PRIME Kilichomng'oa Msemaji KMC

    BODI ya Wakurugenzi ya KMC imemwondoa Msemaji wa timu hiyo, Christina Mwagala kwenye nafasi hiyo na kile kilichomng’oa kikiwekwa sirini, huku klabu ikiwa tayari imeanza mchakato wa kusaka msemaji...

  3. VIDEO: Manara aikataa hukumu ya TFF

    Siku kadhaa baada ya Kamati ya Maadili ya TFF kumfungia msemaji wa Yanga, Haji Manara kufungiwa kutojihusisha na soka kwa miaka 2 na faini ya Sh20 milioni kwa kukutwa na hatia ya kumtolea maneno...

  4. Manara avuruga mashabiki Unguja

    BAADHI ya mashabiki wa mpira wa miguu Unguja wamesema msimu wa 2021-2022 wa Ligi Kuu Bara hautakuwa na msisimko mkubwa kutokana na kung’atuka kwa aliyekuwa msemaji wa Simba,Haji Manara. Haji...

  5. Watoto wa Mr. Ibu waiba pesa za matibabu ya baba yao

    Onyeabuchi Okafor ambaye ni mtoto wa kiume wa muigizaji kutoka nchini Nigeria John Okafor, maarufu kama Mr Ibu na mtoto wa kike wa kuasili aitwaye Jasmine Okekeagwu, wamedakwa na Polisi nchini...

  6. Hizi hapa Sajili za Ligi Kuu Bara

    Dirisha la usajili msimu huu likielekea kufungwa usiku wa leo timu nyingi za Ligi Kuu Bara zimeshakalimisha baadhi ya sajili huku zingine zikipigana vikumbo bado sokoni.

  7. Mashine ya Gambia kumn'goa Phiri Simba?

    Simba ipo kwenye mazungumzo ya mwisho kumalizana na mshambuliaji Pa Omar Jobe kutoka Gambia. Mwanaspoti linafahamu Simba itamtambulisha Jobe wakati wowote leo mchana akija maalum kwa kazi ya...

  8. Ahmed: Tutamsaidia Saido abebe kiatu

    Baada ya kiungo wa Simba, Saido Ntibazonkiza kumsogelea kwa ufungaji mshambuliaji Fiston Mayele wa Yanga mwenye mabao 16 na yeye 15, uongozi wa Simba umetoa neno. Simba jana Juni 6 ilishinda...

  9. Basi la TFF kukamatwa, kupigwa mnada kulipa deni

    BAADA ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuliamuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kulipa deni la Sh 56,446,700, wakili wa Taasisi za Filbert Bayi, Karoli Tarimo amefungua maombi...

  10. Kanali Bakari atunukiwa nishani ya michezo Russia

    Wizara ya Ulinzi ya Jeshi la Shirikisho Urusi limemtunuku nishani kwa kuimarisha ushirikiano katika Majeshi Kimataifa Kanali Joseph Bakari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania nchini Urusi.

Previous

Page 154 of 869

Next