Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1871 results for Charity James :

  1. Amissi Tambwe wala hajakurupuka

    SIKU chache baada ya kutangazwa kuwa meneja wa Singida Black Stars, straika nyota wa zamani wa Simba na Yanga aliyeacha alama katika Ligi Kuu, Amissi Tambwe amevunja ukimya na kuteta na...

    TAMBWE Pict
  2. Majeraha yamtibulia Camara Simba

    Simba itawakosa wachezaji wake Moussa Camara na Che Malone Fondoh katika mchezo wake wa Ligi Kuu kesho Jumamosi, Februari 28, 2025 dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha.

  3. Baresi akiri anastahili ‘thank you’

    SAA chache baada ya uongozi wa Mashujaa kuvunja benchi lao la ufundi, aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mohamed Abdallah ‘Bares’ amesema wamewajibika kutokana na matokeo mabovu ya timu hiyo.

    BARESI Pict
  4. Bocco aukubali mziki wa Mzize, Ateba

    NAHODHA wa zamani wa Simba na Taifa Stars ambaye kwa sasa anakipiga JKT Tanzania, John Bocco amemtaja Leonel Ateba (Simba) na Clement Mzize (Yanga) kuwa ni wachezaji halisi wa kati wenye uwezo wa...

  5. PRIME Simba ikae chonjo, Tshabalala awatikisa Waarabu

    MECHI 10 zilizobaki za Simba mzimu huu zinaendelea kuwaumiza viongozi wa klabu hiyo wakipiga hesabu za namna ya kuzicheza ili wabebe ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, huku kukiwa na mambo kibao...

  6. PRIME Clement Mzize grafu inazidi kupaa

    CLEMENT Mzize. Jina kubwa kwa sasa kwenye soka la Bongo. Kipaji murua cha kizawa.

    Mzize Pict
  7. PRIME SOUD: Kwenye usajili Bara kuna uhuni mwingi, tutaukomesha!

    LICHA ya kubadilishwa kwa mfumo wa usajili wa wachezaji kwa ajili ya Ligi tofauti zilizopo Tanzania, lakini bado kuna madudu yamekuwa yakijitokeza na kuzua sintofahamu kwa wadau.

    SOUD Pict
  8. Mayanga ashtukia jambo Mbeya City

    KOCHA wa Mbeya City, Salum Mayanga amesema hadi sasa timu hiyo kutoka jijini Mbeya iko katika uelekeo mzuri kutokana na nafasi iliyopo na kuwataka nyota wa kikosi hicho kuongeza umakini zaidi...

    Mayanga Pict
  9. PRIME Aziz KI v Ahoua… Hapa kuna vita nzito

    NAMBA haziongopi. Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na namba za kiungo wao mshambuliaji wa Simba, Jean Charles Ahoua akimfunika MVP na mfungaji bora msimu uliopita, Stephane Aziz Ki.

    Kazi Pict
  10. PRIME Kuna nini Yanga? Mwingine asepa!

    ALIANZA aliyekuwa kocha mkuu, Sead Ramovic, kisha akafuata kocha wa makipa Alaa Meskini, kiasi cha kuanza kuzua maswali, Yanga kunani?

    Ameondoka Pict
Previous

Page 15 of 188

Next