PRIME Ujumbe wa Moses Phiri Simba akiitaja dabi MOSES Phiri ni miongoni mwa majina yaliyoangaziwa sana katika usajili wa wachezaji miaka ya karibuni kabla ya kutua nchini, yakihusishwa na Simba pamoja na Yanga.
Hizi hapa mechi za hesabu Ligi Kuu MICHEZO ya Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea leo katika viwanja tofauti itakayokuwa na hesabu kali kutokana na timu kuwania nafasi za kujinasua kushuka na zinazotaka kupanda juu kwenye msimamo.
PRIME HII IMEKAAJE? Misimu minane... Rekodi ya Kapombe inadunda IMEPITA misimu minane ukienda wa tisa tangu beki wa Simba, Shomari Kapombe alivyoweka rekodi 2015/16 akiwa Azam FC ambayo hadi sasa bado haijavunjwa na mabeki wazawa wala wa kigeni katika Ligi...
PRIME Boban ampa shavu Mzize NYOTA wa Kitanzania, Clement Mzize ndilo jina ambalo linatembea kwa sasa vinywani mwa mashabiki wa Yanga, nyota yake ikizidi kung'ara kutokana na mchango wake katika kikosi hicho cha mabingwa...
PRIME Beki wa JKT aingia anga za Yanga UNAIKUMBUKA ile mechi ya kwanza kwa kocha mpya wa Yanga, Hamdi Miloud alipovaana na JKT Tanzania na kulazimisha suluhu kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo?
PRIME Ile ishu ya kubusu miguu, msikie anachokisema Fei Toto KIUNGO mshambuliaji wa Azam, Feisal Salum 'Fei Toto', ni mmoja ya wachezaji waliobahatika kubusiwa miguu uwanjani tangu akiwa Yanga na hata sasa akiwa na Azam, huku akisema hata yeye anaweza...
PRIME Xavi aanika siri za Elie Mpanzu KOCHA anayefundisha mazoezi binafsi, Mohammed Mrishona maarufu kama 'Xavi' amefichua kile anachokifanya kiungo mshambuliaji wa Simba, Ellie Mpanzu anayejifua chini yake kwenye Uwanja wa Bora...
PRIME Camara wa Simba amuibua Idd Pazi UMAHIRI wa Moussa Camara 'Spider' katika milingoti mitatu ya Simba, akiwa amebakisha clean sheet moja tu kwa sasa kuifikia rekodi iliyowekwa Ligi Kuu Bara msimu uliopita kiasi cha kumpa tuzo...
PRIME Ateba afichua siri tattoo ya Simba WAKATI Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Ahmed Ally akitamba kwamba straika wa timu hiyo, Leonel Ateba amechora tattoo ya Mnyama Simba kutokana na mahaba aliyonayo kwa klabu hiyo, nyota huyo kutoka...
PRIME Ukipigwa umekwisha mbio za ubingwa Ligi Kuu Bara MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Bara zimeshika kasi na kufikia patamu. Licha ya kwamba hadi sasa ubingwa huo kuwa wazi kwa timu tano, lakini Simba na Yanga wakionekana na nafasi nzuri.