MAONI: Simba inahitaji utulivu mkubwa UNAWEZA kusema hali sio shwari sana ndani ya klabu ya Simba na siyo tu baada ya kichapo walichopata kutoka kwa watani zao, Yanga waliowafungwa mabao 5-1 wikiendi iliyopita. Hali ndani ya Simba...
MTU WA MPIRA: Ni akili ya Robertinho dhidi ya Yanga iliyochangamka DABI ya Kariakoo. Mchezo wenye hadhi na thamani kubwa zaidi nchini unachezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Ni Simba dhidi ya Yanga. Huu ndio mchezo mkubwa zaidi kwenye ukanda huu wa Cecafa.
Kila mtoto kulipa kiingilio Kwa Mkapa, usiingie na silaha uwanjani BODI ya Ligi Tanzania (TPLB) imewataka mashabiki wanaopenda kwenda uwanjani na watoto wao kushuhudia Dabi ya Karikaoo wawakatie tiketi ili wapate nafasi ya kukaa.
PRIME PUMZI YA MOTO: Wachezaji Azam FC hawamtaki Kocha Dabo HATIMAYE jinamizi la makocha kukataliwa na wachezaji wa Azam FC limeibuka tena kama ambavyo hutokea kila mwaka. Katika umri wake wa miaka 15 kwenye Ligi Kuu, Azam FC imewahi mara moja tu kuanza...
MTU WA MPIRA: Hii Yanga ya Gamondi tutalaumu wapinzanzi bure KUNA watu wanateseka kwa vita. Kuna watu wanateseka kwa njaa. Kuna watu wanateseka na magonjwa. Mateso ni mengi sana. Halafu kuna watu wanateseka na Yanga. Ndio. Leo nitazungumzia hawa...
NIONAVYO: African Football League ni utajiri mkubwa (Uefa) na Fifa. Mradi huo ulikufa, baada ya Uefa kutishia kuviondoa kwenye mashindano inayoyaandaa. Suala la Fifa kupingana na Super League ya klabu za Ulaya na kuiunga mkono kwa nguvu zote Super...
MAONI: Hii ni heshima ya nchi, tusifanye makosa KESHO ndio uzinduzi wa michuano mipya ya Ligi ya Afrika (African Football League maarufu kama CAF Super League), shughuli inayofanyika katika ardhi ya Tanzania. Michuano hiyo inayoshirikisha...
PRIME Kwa mbinu hizi Al Ahly wanapasuka maalumu zaidi upande anaocheza Tshabalala kwa kuwa mabao mengi ya Ahly yametengenezwa kupitia huko anakocheza Mohammed Hanny anayeshirikiana vyema na Pecy Tau ambaye ndiye staa wa Ahly.
Kipa Mrundi aibukia Yanga huyo yupo Yanga kwaajili ya kuendeleza kiwango chake kwa makubaliano maalumu lakini bado hajasajiliwa. “Kwa sasa yupo huru ndio maana umemuona pale. Hajasajiliwa bali yupo kupata uzoefu na...
Mkude, Metacha warejea kikosini Yanga akiwa na ruhusa maalumu na kukosa mechi ya marudiano dhidi ya Al Merreikh, Ihefu na Geita Gold. Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi aliliambia gazeti hili jana kuwa atatumia kipindi hiki cha...