Wajumbe 19 wa hamasa timu ya Taifa wateuliwa, Mwijaku na Hersi ndani
Tanzania imefuzu kushiriki Fainali za Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON nchini Ivory Coast, michuano hii inaanza Januari 13- Februari 11, 2024. Pia, Tanzania 'Twiga Stars' imefuzu...