Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

30 results for Mosi Abdalla :

  1. Dk Mwinyi ajitosa ishu ya Zanzibar CAF

    SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema bado inapambana ili kupata ufumbuzi juu ya suala la timu ya taifa ya soka ya Zanzibar, 'Zanzibar Heroes' la kutopata nafasi ya kushiriki...

  2. Haaland wa Zenji mwenye rekodi tamu Amaan

    MASHABIKI wa soka wa visiwani Zanzibar wamempachika jina la Haaland, wakimfananisha na nyota wa Man City ya England, Erling Haaland kutokana na umbile na kasi yake ya kucheka na nyavu. Majina...

  3. Kipute cha Zanzibar Heroes, Kili Stars kazi anayo Amrouche

    UNGUJA. UWANJA wa Amaan, mjini Unguja uliokarabatiwa na kuwa na mwonekano wa kisasa, unatarajiwa kuzinduliwa leo ukisindikizwa na burudani mbalimbali ikiwamo ya muziki mapema, lakini kuanzia saa...

  4. Yanga, Simba kuwania Sh100 mil Mapinduzi Cup

    KAMATI ya Kombe la Mapinduzi 2024 imetangaza zawadi za washindi wa msimu huu kwa kuweka bayana bingwa ataondoka na kitita cha Sh100 milioni, huku wa pili akizoa Sh70 milioni kwenye michuano hiyo...

  5. Fei Toto, Bacca kuivaa Kilimanjaro Stars Amaan

    matengenezo yaliyobadilisha muonekana wake kwa sasa ukiwa wa kisasa zaidi. Kocha Mkuu wa Zanzibar Heroes, Hemed Suleiman 'Morocco' amewataja wachezaji 29 wa kuunda timu hiyo ya kuivaa...

  6. Yanga kuanza na Wakenya, Simba yapewa Jamhuri Pemba

    KCCA na 2016 wakichukuwa URA. Mara nyingi wachezaji wa timu za Zanzibar huyatumia mashindano kijionyesha (kujiuza) kwa timu za Tanzania bara na baada ya mashindano hayo kumalizika wachezaji kadhaa...

  7. Kumekucha Mapinduzi Cup

    MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi 2024 inatarajiwa kuanza rasmi Desemba 28 hadi Januari 13 kwenye Uwanja wa Amaan, mjini Unguja. Michuano hiyo kwa msimu huu itashirikisha timu 12 nne kutoka...

  8. JKU yautaka ubingwa ZPL

    MAAFANDE wa JKU wameendelea kuwa wababe wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kuwa na kujikusanyia pointi tatu nyingine kwenye mechi zao. Hivi karibuni iliifunga Kipanga FC bao 1-0 na kuendelea...

  9. PRIME Rais ZFF afyekwa uchaguzi

    KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF) imewapitisha wagombea watatu nafasi ya urais, huku Rais wa sasa Abdulatif Ali Yassin naye akifyekwa kwenye kinyang'anyiro hicho...

  10. Bab’kubwa! Ligi Bara inavyowabeba Wazenji

    zilishiriki michuano hiyo ya Kombe la Mapinduzi 2023, huku Mabingwa wapya, Mlandege wakiongoza kwa kutoa wachezaji wengi (watatu). Wachezaji hao ni kipa Yusuf Ali  ‘Mpelule’ aliyechukua tuzo ya...

Previous

Page 2 of 3

Next