Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

474 results for Ibrahim Mussa :

  1. ZUGO: Bondia aliyetakiwa na Mayweather Sauzi, ngoma ikabuma

    UKIWATAJA mabondia wa Tanzania waliofikia rekodi ya hadhi ya nyota nne, basi jina la mtoto wa Zena Kipingu, mke wa Kanali mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Idd Kipingu ambaye ni...

  2. Huyu ndiye 'MK14' anayezeeka na utamu wake

    UNAPOTAJA nyota wa kigeni waliofanya vizuri na kujiwekea rekodi za kipekee, hutoacha kumtaja mshambuliaji wa zamani wa timu za Simba, Singida Big Stars na sasa Namungo FC, Meddie Kagere ‘MK14’...

    MEDDIE Pict
  3. Abdul Zugo Asimulia pambano lake Ubelgiji lilivyoyeyuka

    ABDUL Kessy Kasongo maarufu zaidi kwa jina la Abdul Zugo ni mtoto wa Dar es Salaam lakini heshima yake katika mchezo wa ngumi ameenda kuipata Tabora kutokana na mchango wake na namna anavyoupa...

    ZUGO Pict
  4. PRIME Juma Choki: Mbabe mwenye kwenye ndondi

    Juma Ramadhani Choki, mtoto wa mchezaji wa zamani wa Mtibwa Sugar na Singida Big Stars, Ramadhan Choki ambaye huenda jina lake likaandikwa kwa wino wa dhahabu, mwaka huu.

  5. PRIME MTIHANI: Mwakinyo, wenzake na msoto nyuma ya nondo

    KATIKA maisha unaweza kufanya jambo likachafua taswira nzima ya jina na uhalisia wako, huenda kwa akili zako timamu au kwa kusingiziwa, lakini kitendo cha kuhusika tayari heshima inakuwa imepungua.

    MWAKINYO Pict
  6. Hili ndilo anguko la Dullah Mbabe

    AGOSTI, mwaka 2021 ndiyo ulikuwa mwisho wa utawala wa bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi maarufu Dullah Mbabe kutokana na kupigwa kwa pointi na aliyekuwa mpinzani wake wakati huo...

    DULLAH Pict
  7. PRIME Maluma: Winga wa Ndanda aliyeibukia kwenye ngumi

    Bondia huyo anayecheza katika uzani wa walter akiwa ameshapanda ulingoni katika mapambano saba ambayo sawa na raundi 26 akiwa ameshinda matatu kati ya hayo mawili kwa Knockout.

  8. PRIME Swanga na rekodi mbovu ngumi za ridhaa, tamu za kulipwa

    HARUNA Mhando Swanga, mkali wa masumbwi kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanazania (JWTZ) akiwa na cheo sajini taji (staff seargent) huku akiwa ndiye nahodha wa gym ya Ngome inayopatikana...

    SWAGA Pict
  9. PRIME Kilichomfanya mtoto wa Matumla kugomea shule, kugeukia ngumi

    MWAKA 2015 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, promota mwenye maneno mengi na uwezo wa mkubwa wa ushawishi, Jay Msangi alimpiganisha Mohammed Matumla dhidi ya Xinghua Wang kutoka China na kutangaza...

    Matumla Pict
  10. PRIME Bondia mchinja kuku na kisa cha kupigwa Uganda

    Katika maisha kila binadamu anapitia mkasa wake apitia haso zake katika kitabu cha maisha yake kama ilivyokuwa kwa bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Ramadhan Ramadhani lakini jina lake la utani...

Previous

Page 2 of 48

Next