Video MPENJA KUTOKA UTANGAZAJI MPAKA UIGIZAJI ASIMULIA MACHUNGU ANAYOPITIA, ISSUE YAKE NA AZAM TV IKO HIVI Jumamosi, Machi 22, 2025
PRIME Simba yaacha msala CAF SIMBA imeendeleza kugawa dozi katika Ligi Kuu Bara baada ya jana kuifumua Pamba Jiji kwa mabao 5-1 na kukata tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, huku ikiziachia msala Singida BS...
PRIME Maswali saba mapya Dabi ya Kariakoo, hiki kitaikuta Yanga ikigoma WAKATI wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakicharuka Bungeni kuhusu Dabi ya Kariakoo, kuna maswali yanayohitaji majibu juu ya kile kinachoendelea baada ya Bodi ya Ligi Kuu...
Serikali yajivua lawama ‘Kariakoo Derby’ Serikali imejiweka kando kwenye mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba ‘Kariakoo Derby’ ikisema haiwezi kuingilia mipango ya mpira kwa kuwa inakiuka sheria za ligi.