Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Liverpool wakacha dili la Barella

Liverpool imeamua kujiweka kando kwenye dili la kutaka kumsainisha kiungo wa Inter Milan na Italia Nicolo Barella, 24, katika dirisha hili.

Mkataba wa fundi huyu unamalizika mwaka 2024. Liver imevutia na kiwango cha Barella alichoonyesha kwenye michuano ya Euro mwaka huu akiwa na timu ya taifa ya Italia iliyochukua ubingwa.