Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Yanga yahamishia mchakato Bungeni

Yanga yahamishia mchakato Bungeni

Klabu ya Yanga leo Feb 18 itafanya uzinduzi wa kadi mpya za Uanachama za kielektroniki kwa Wabunge wa Bunge Ia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao ni Wanachama wa Yanga.

Uzinduzi wa kadi za Kielektroniki ni sehemu ya mchakato wa mabadiliko ya kidigitali na ya mfumo wa uendeshaji wa Klabu kwa mujibu wa katiba ya Yanga toleo Ia 2021.

Hafla ya uzinduzi huo itafanyika kwenye Hoteli ya Morena jijini Dodoma kuanzia saa 4:00 asubuhi ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson.

Hafla hiyo itahudhuriwa na Waheshimiwa Wabunge, Viongozi wa Klabu ya Yanga, wadau na waandishi wa habari.