Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

VIDEO: Aucho amaliza ubishi…. Yanga yaipiga Simba bao la kisigino

YANGA ni kama wataka sifa, kwani kile wanachokifanya kwa sasa ni balaa na wapinzani wao lazima waombe po, ikiwa hata saa 24 hazijatimia tangu imshushe kipa la Mali, Diarra Djigui waliyemtambulisha rasmi jana, wamemleta nyota mwingine mpya Khalid Aucho kininja na kumaliza ubishi uliokuwapo awali juu yake kama atatua Jangwani au Msimbazi.

AUCHO atua Dar kumalizana na Yanga | kiungo kutoka Uganda

Mabosi wa Jangwani mwishowe wakaipiga bao Simba kwa kumshusha kiungo huyo mkabaji kutoka Uganda kiWababe hao wa Jangwani ni kama wana kitu wanatengeneza kuelekea msimu ujao, kwa staili yao ya sasa kushusha jembe baada ya jembe, kwani jana ilishusha staa wao wa nne wa kigeni lakini huyu wakimshusha kininja wakiwahofia Simba, iliyokuwa ikitajwa nayo kumvizia.



Kusoma habari hii kwa undani pata Gazeti la Mwanaspoti la Jumatatu Agosti 09, 2021