Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Neymar atupia picha Instagram akiwa na mtoto wa Jackie Chan

Mchezaji wa Barcelona, Neymar  anayetajwa kutimkia PSG, amekutana na Jaycee ambaye ni mtoto wa mkali wa filamu, Jackie Chan na kuweka picha kwenye mtandao wake wa Instagram.

Neymar alionekana kufurahia baada ya kukutana na mtoto wa Jackie Chan, huku akimweleza kupeleka salamu kwa baba yake kutokana na kazi kubwa aliyoifanya kwenye tasnia ya filamu.

Mshambulaji huyo alituma picha akiwa amemkumbatia Jaycee huku akiandika; “Ni jambo la furaha kukutana nawe jaycee_chan pia usisahau kumkumbatia baba yako kwa ajili yangu.”