Mcheza Taekwondo wa Tanzania aondoka na matumaini ya ubingwa katika mashindano ya dunia Korea Kusini

Muktasari:
Omary mwenye uzito wa kilogramu 54 ataungana na wachezaji wengine 140 kutoka nchi 70 duniani kushiriki mashindano hayo ya Taekwondo.
Omary mwenye uzito wa kilogramu 54 ataungana na wachezaji wengine 140 kutoka nchi 70 duniani kushiriki mashindano hayo ya Taekwondo.