Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

KMC yampigia hesabu Lucas Kikoti

KLABU ya KMC iko kwenye mazungumzo ya kumpata kiungo wa Namungo, Lucas Kikoti ili akaichezee timu hiyo.

Kocha wa KMC, Jamhuri Kihwelo 'Julio' ni pendekezo la mchezaji huyo kwa sababu anataka kuungana naye tena kwani kabla ya hapo walishawahi kufanya kazi pamoja wakati akiifundisha Namungo.

Wakati KMC ikihitaji saini ya Kikoti ila tayari imewasajili, Juma Shemvuni aliyekuwa anaichezea Mbeya City iliyoshuka daraja, Muhsin Malima (Dodoma Jiji) na Rodgers Gabriel aliyetoka Pamba.

Kabla ya kutua Namungo misimu mitatu iliyopita akiipandisha Ligi Kuu, aliwahi kuichezea Majimaji Songea kwa misimu mitatu mfululizo kuanzia 2015-2018.