Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Dili la Nabi Kaizer apewa Ntseki

Klabu ya aizer Chiefs ya Afrika Kusini imemtangaza Molefi Ntseki kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo na kuchukua mikoba ya Arthur Zwane.
 
Molefi Ntseki alikuwa kwenye Meneja  wa Akademi ya timu ya vijana  Kaizer na kupandishwa kuwa Kocha Mkuu na alishawahi kuwa Kocha Mkuu wa timu ya Afika Kusini chini ya miaka 17 hadi     Agosti 2, 2019-20  na baadae kuchaguliwa kuwa mlezi wa timu ya taifa Afrika Kusini Agosti 3,  2019-20.

Awali Kaizer ilikuwa kwenye mazungumzo na aliyekuwa kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi lakini  dili hilo limegonga mwamba baada ya kutaka kutaka kwenda na wasaidizi wake.