Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

685 results for Victoria Melkiad :

  1. PRIME Aziz Ki afichua kinachomkwamisha Yanga

    STEPHANE Aziz Ki wa msimu uliopita, huwezi kumlinganisha na wa msimu huu, ukiangalia namba zake katika Ligi Kuu Bara zimeshuka sana huku mwenyewe akiweka wazi nini sababu ya yote hayo.

    AZIZ KI Pict
  2. Kiungo Azam aibua matumaini mapya

    BAADA ya awali kuelezwa huenda kiungo wa Azam FC, Adolf Mtasingwa atakosa mechi zote za Ligi Kuu Bara zilizobaki, taarifa mpya ni kwamba anaweza kuziwahi zile za kumalizia msimu.

  3. PRIME Sakata la Dabi: CAS kunaunguruma, kesi ya msingi ipo

    MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi ya Michezo CAS imeanza kufanya mambo yake ikiwasiliana rasmi na wahusika wakuu kesi ya klabu ya Yanga iliyofungua shtaka ikipinga pamoja na mambo mengine...

    CAS Pict
  4. PRIME Hatma ya Chama Yanga ngoma ngumu

    HATMA ya kiungo Clatous Chama ndani ya Yanga bado inapasua kichwa baada ya mabosi wa timu hiyo kusubiri uamuzi wa kocha wao Miloud Hamdi ambaye anataka kumsoma zaidi kabla ya kutoa kauli ya...

  5. Mpole ndo basi tena Kagera Sugar

    KAGERA Sugar imelifunga rasmi faili la kumshawishi mshambuliaji George Mpole kwa kile ilichodai haitaki kuharibu utulivu wa hesabu zao za kubaki Ligi kuu.

  6. PRIME ZAKA: Usajili wa Mafisango Azam ulikuwa balaa –2

    Wengi wanasema Azam inakaza dhidi ya Yanga, lakini inapocheza na Simba huwa unalegeza uzi. Hapa Zaka anafafanua akisema sio kweli, huku akitaja na rekodi za timu hizo mbili.

    ZAKA Pict
  7. PRIME Yanga yamtisha Kocha Tabora United

    YANGA imemalizana na Songea United katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho (FA) uliochezwa jana Jumamosi na kituo kinachofuata ni mkoani Tabora huku Kocha Mzimbabwe Genesis...

  8. PRIME Kutoka Misri... Kambi ya Simba hii hapa, yalindwa na walinzi 10

    KAMA alivyosema Kocha wa Simba, Fadlu Davids kwamba watahakikisha wanaimaliza mechi dhidi ya Al Masry hukohuko Misri, ndicho walichoamua kukifanya mabosi wa timu hiyo kwa kukiweka kikosi sehemu...

  9. Zaka Zakazi kisa Dube amfutia jina mwanawe -1

    KWENYE soka la Tanzania kwa sasa ukitajiwa jina la Zaka Zakazi akili yako itahamia sehemu mbili tu. Utajiuliza labda anakusudiwa hayati Zacharia Hans Poppe aliyekuwa kiongozi wa Simba ukiambiwa...

  10. PRIME Benchikha atia mkono Misri, aitaja Simba

    KOCHA wa zamani Simba, Abdelhak Benchikha, ambaye yupo nchini Misri akiifundisha Modern Sport,amewapa Simba mbinu tatu za haraka za kuwakabili Al Masry ya kupata matokeo Jumatano.

    BENCHIKHA Pict
Previous

Page 10 of 69

Next