Mbappe apiga tizi kuiwahi Bayern NYOTA wa Real Madrid, Kylian Mbappé anatarajiwa kuanza katika mechi muhimu ya marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich utakaopigwa, Jumatano Aprili 15, 2026...
Uhamisho matata unaosubiriwa dirisha kubwa Ligi Kuu England UMEBAKIA mwezi mmoja tu kabla ya pilikapilika za usajili wa wachezaji kuanza kushika kasi katika ligi mbalimbali dunia, ambapo tayari majina ya mastaa kadhaa yamekuwa kwenye vichwa vya habari...
Vita ya PFA yazidi kupamba moto EPL 2025/26 WAKATI ukitafakari ulivyomalizika mzunguko wa 32 wa Ligi Kuu England, jana kwa mechi moja kati ya Manchester United dhidi ya Leeds United iliyopigwa Old Trafford, wachambuzi wa soka nchini humo...
Man United kumtumia Ugarte dili la Gordon NEWCASTLE United inapanga kuimarisha safu yao ya kiungo dirisha lijalo la majira ya kiangazi na inamwangalia staa wa Manchester United, Manuel Ugarte, 25, kama moja kati ya malengo yao.
Samata aandika historia, akifunga bao la kwanza Ufaransa Mbwana Samatta jana Jumapili, Aprili 12, 2026 amefunga bao la kwanza akiwa na jezi ya Le Havre katika mchezo wa Ligi Kuu ya Ufaransa ‘Ligue 1’ uliomalizika kwa sare ya bao 1-1.
Ancelotti amfungulia mlango Neymar Kombe la Dunia 2026 Kocha wa timu ya taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti amesema hajaondoa kabisa uwezekano wa kumjumuisha nyota Neymar Jr. katika kikosi kitakachoshiriki Kombe la Dunia 2026, endapo atathibitisha...
Slot asema Liverpool haitabadilisha mfumo wa usajili KOCHA wa Liverpool, Arne Slot ametoa mwanga kuhusu mipango ya usajili ya dirisha lijalo la majira ya kiangazi, akisisitiza hana mpango wa kuondoka katika kikosi hicho.
TYSON FURY: Ngumi nzito, mkwanja mzito USIKU wa juzi Jumamosi, bondia raia wa England, Tyson Fury alipamba sana vichwa vya habari baada ya kumchapa mpinzani wake Arslanbek Makhmudov kutoka Urusi.
Man United waandaa mkakati mpya kumshawishi Anderson MANCHESTER United imepanga kutumia wachezaji wao raia wa England waliopo timu ya taifa ili kumshawishi kiungo wa Nottingham Forest, Elliot Anderson, 23, kujiunga nao dirisha lijalo la majira ya...