Sintofahamu mchezaji akiuawa kwa risasi Ghana TUKIO la kuuawa kwa mchezaji wa Berekum Chelsea ya Ghana, Dominic Frimpong baada ya basi la timu hiyo kushambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa majambazi limeibua mjadala wa usalama kwa wachezaji...
Carrick alalamikia waamuzi kipigo dhidi ya Leeds Kaimu Meneja wa Manchester United, Michael Carrick ameshambulia uamuzi wa marefa kuwa ndio chanzo cha kupoteza kwa mabao 2-1 mchezo wa jana Jumatatu, Aprili 15, 2025 nyumbani dhidi ya Leeds United.
Sowah afichua kinachoendelea Simba, klabu yatoa tamko MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah, amevunja ukimya na kuamua kuweka wazi kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo kumuhusu yeye ikiwa imepita takribani mwezi mmoja na siku 20 tangu asimamishwe...
Kifo cha Ashly Robinson Zanzibar chazua maswali, familia yataka ukweli Wazazi wa Ashly Robinson, ambaye alikuwa mshawishi wa mitindo ya maisha kutoka Marekani aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 31 katika mazingira yanayotajwa kuwa na utata visiwani Zanzibar...
Tony Woodcock kupata medali ya Ulaya baada ya miaka 46 ya kusubiri MCHEZAJI wa zamani wa kimataifa wa England, Tony Woodcock, hatimaye anatarajiwa kupokea medali yake ya ushindi wa Kombe la Ulaya baada ya miaka 46 tangu aliponyimwa mwaka 1980 akiwa sehemu ya...
Partey arudi London kujibu kesi mpya ya ubakaji KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Thomas Partey, amerudi mahakamani jijini London, na amekana mashtaka mapya mawili ya ubakaji yanayomhusu mlalamikaji mpya.
Mashabiki Man City waanza mbwembwe ACHANA na matokeo ya uwanjani Stanford Bridge, juzi, katika kichapo walichokipata wenyeji, Chelsea kutoka kwa Manchester City cha mabao 0-3, lakini kulikuwa na vaibu lingine nyuma lililoanzishwa...
Mbappe apiga tizi kuiwahi Bayern NYOTA wa Real Madrid, Kylian Mbappé anatarajiwa kuanza katika mechi muhimu ya marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich utakaopigwa, Jumatano Aprili 15, 2026...