Mpo? Agomea ndoa kisa soka WAKATI mastaa wengi duniani wakianzisha familia sambamba na ma isha ya soka, nahodha wa Korea Kusini, Son Heung-min ameendelea kushikilia msimamo wake wa kutanguliza soka mbele ya kila kitu, hata...
Onyo kwa Trent ujio wa Dumfries Madrid BAADA ya kumalizika kwa msimu wa Ligi Kuu England ambao hakuwa mzuri sana kwake, Trent Alexander-Arnold atalazimika kuboresha zaidi kiwango msimu ujao ikiwa anataka kumshawishi kocha mpya, Jose...
Ancelotti: Neymar kurejea wiki ijayo JANA, Jumamosi usiku, Brazil ilikuwa uwanjani MetLife huko New Jersey kukabiliana na Morocco katika mechi ya kundi C la Kombe la Dunia 2026, lakini nyuma ya mchezo huo mashabiki walikuwa...
Gordon kutibua utawala wa Yamal Barca LAMINE Yamal alikuwa mchezaji wa Barcelona aliyepiga penalti nyingi zaidi katika msimu wa 2025-26, ambapo alifanya hivyo mara saba katika mashindano yote, ikiwa ni mbili zaidi ya Raphinha. Hata...
Mbappe atuma onyo kali kwa Messi na Argentina NAHODHA na mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe tayari ameanza kufikiria kuhusu kile kinachoweza kuwa moja ya simulizi kubwa zaidi za Kombe la Dunia 2026, ikiwa nchi hiyo na...
Bao la Khoukhi dakika za mwisho laiokoa Qatar Kombe la Dunia Qatar imeukataa unyonge baada ya kugomea kipigo mbele ya Uswisi, ikisawazisha dakika za jioni mchezo ukimalizika kwa sare ya bao 1-1.
Dar city, Veins nje ya BDL DAR City na Veins BC ndizo zinazoongoza kwa kuwa na nyota wazawa wengi ziliowasajili katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2026, jambo linaloonyesha kwamba nje ya uwanja zimeonyesha...
KAMA ZALI: Senesi kutoka fukwe za Ibiza hadi Kombe la Dunia WAKATI wachezaji wengi wakitumia kipindi hiki kupumzika baada ya msimu mrefu, beki mpya wa Tottenham Hotspur, Marcos Senesi amejikuta akikatisha likizo yake baada ya kupata zali la mentali.
Kwa nini Jamhuri ya Czech sasa inaitwa Czechia? WAKATI Kombe la Dunia likiendelea, mashabiki wengi wamegundua mabadiliko ya kushangaza, kwam-ba timu iliyokuwa ikijulikana kama Jamhuri ya Czech sasa inaitwa rasmi Czechia.