Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1039 results for Saddam Sadick :

  1. KenGold yaanza na wanne dirisha dogo

    WAKATI KenGold ikianza kusuka kikosi chake kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo, timu hiyo inakabiliwa na ratiba ngumu katika michezo mitano kupambania nafasi ya kubaki Ligi Kuu.

    KenGold Pict
  2. Namungo yaiduwaza KenGold

    LICHA ya kutangulia kwa mabao mawili ndani ya dakika 10 za pambano la Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo, timu ya KenGold imejikuta ikiduwazwa na wageni na kupoteza mchezo huo ikiwa nyumbani kwenye...

    Namungo Pict
  3. Mbeya City yanogewa na ushindi

    BAADA ya ushindi mnono ilioupata Mbeya City wa mabao 4-0 juzi dhidi ya Polisi Tanzania, kocha msaidizi wa kikosi hicho, Juma Bukoli amesema kwa sasa nguvu zao kubwa wanazielekeza katika mchezo...

    Mbeya Pict
  4. Polisi Tanzania yapiga mkwara mzito

    KICHAPO cha mabao 4-0 ilichopata Maafande wa Polisi Tanzania dhidi ya Mbeya City juzi, kimeonekana kumchanganya kocha wa timu hiyo, Bernard Fabian ambaye ameweka wazi michezo mitatu ijayo ya...

    Polisi Pict
  5. Mbeya yaingilia kati Prisons na Ken Gold

    WAKATI Tanzania Prisons na Ken Gold zikiendelea kuchechemea kwenye Ligi Kuu, chama cha soka mkoani Mbeya (Mrefa) kimezitaka timu hizo kutekeleza ushauri wa kamati ya mashindano ili kukwepa aibu...

    Mbeya Pict
  6. Ken Gold inatia huruma, yatolewa Shirikisho

    Ken Gold imekuwa timu ya kwanza Ligi Kuu Bara kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho baada ya kufungwa penalti 4-3 na Mambali Ushirikiano kufuatia dakika 90 zilizomalizika kwa sare ya...

  7. Nyota Coastal afichua siri yake na makocha

    STRAIKA wa Coastal Union, Maabad Maulid amekiri kuanza kwa ugumu Ligi Kuu Bara msimu huu, huku akifichua siri ya kuaminiwa na makocha wanaotua kikosini humo na kutoa matumaini kwa mashabiki.

    Maabad Pict
  8. Kigogo Biashara Utd ang'aka timu kuuzwa

    WAKATI taarifa zikisambaa kuwa Biashara United ipo sokoni, uongozi wa timu hiyo umekanusha, ukieleza kuwa wanachotafuta ni mdau atakayeweza kuongeza nguvu tu.

    Biashara Pict
  9. KenGold: Kushuka daraja? Nyie subirini tu

    PAMOJA na kukiri matokeo kutokuwa mazuri, Kocha Mkuu wa KenGold, Omary Kapilima amesema bado ni mapema kuitabiria timu hiyo kushuka daraja badala yake wasubiri muda utaamua.

    KenGold Pict
  10. KenGold yawang'ang'ania Wagosi Sokoine

    Bao la kusawazisha dakika ya 90 limeiokoa Ken Gold kupoteza mchezo nyumbani dhidi ya Coastal Union na kufanikiwa kubaki na pointi moja katika Uwanja wa Sokoine jijini hapa.

Previous

Page 8 of 104

Next