Mkude apata watetezi Yanga WAKATI mashabiki wakijiuliza kitu gani kimemkuta kiungo mkabaji mzoefu wa Yanga, Jonas Mkude aliyewahi kuwika kwa karibu miaka 10 mfululizo akiwa na Simba, wachezaji wakongwe waliowahi kukipiga...
Straika KMC amtaja Mukwala MSHAMBULIAJI wa KMC, Daruweshi Saliboko amesema anaupenda aina ya uchezaji wa straika wa Simba, Steven Mukwala kutokana na kasi yake, mzuri wa kuunganisha pasi hadi kufunga.
Chanongo aziwaza dakika 270 KIUNGO wa Tanzania Prisons, Haruna Chanongo amesema wana dakika 270 ngumu za maamuzi ya timu hiyo kusalia Ligi Kuu au la, kutokana na kile ambacho watakivuna katika mechi tatu zilizosalia.
DAKIKA ZA JIOOONI: Mashujaa ina mitihani mitatu KUNA mitihani mitatu inamkabili kocha wa zamani wa Taifa Stars, Salum Mayanga katika kikosi cha Mashujaa chenye maskani yake mkoani Kigoma.
PRIME Hamza afichua siri Zanzibar, Kibu atajwa KIKOSI cha Simba kinashuka uwanjani kesho Jumapili kukabiliana na Stellenbosch ya Afrika Kusini, huku mastaa wa timu hiyo wakiongozwa na beki wa kati, Abdulrazack Hamza, wakitoa kauli ya kibabe.
DAKIKA ZA JIOOONI: JKT Tanzania mipango imewalipa KILICHOTOKEA msimu uliopita kwa JKT Tanzania ni kama kimekuwa funzo kubwa kwa timu hiyo msimu huu baada ya kuzichanga karata zao mapema na mipango imewalipa.
Mastaa KenGold bado hawaamini MATOKEO mabaya iliyonayo KenGold inayosubiri kwa sasa miujiza ili kuepuka kushuka daraja kutoka Ligi Kuu kurudi Ligi ya Championship, imewafanya hadi wachezaji wa timu hiyo kushindwa kuamini...
Buswita mambo magumu Namungo MSHAMBULIAJI wa Namungo, Pius Buswita amekiri msimu huu amekuwa na wakati mgumu katika kasi ya kutupia mipira nyavuni, lakini amesema kama hataifikia rekodi ya msimu uliopita ya mabao saba, basi...
BANKA: Kagoma anajua na Simba inabeba! ENZI zake za uchezaji alisifika kwa mchezo wa akili, mbinu na maarifa na kudumu kwa muda mrefu kama mmoja wa viungo bora wa kati katika soka la Tanzania.
Kagera Sugar ilivyomfungulia njia Adebayor BAADA ya winga wa Singida Black Stars, Victorien Adebayor kufunga bao moja katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Kagera Sugar, mchezaji huyo amesema imetimiza hamu yake ya kucheka na nyavu.