Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1871 results for Charity James :

  1. Kipagwile, Peter waibua matumaini Dodoma Jiji

    BAADA ya kukusanya pointi saba kwenye mechi tatu zilizopita, Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime amesema hana cha kupoteza kipindi hiki ambacho ligi inakwenda kusimama kwa takribani wiki moja...

    KIPWAGILE Pict
  2. Kagera Sugar namba ngumu, lakini ipo

    ZIMEBAKI mechi sita za kujitetea kwa timu ambazo hazipo kwenye nafasi nzuri kuepuka kushuka daraja katika Kuu Bara msimu huu huku takwimu zikionyesha zina kazi kubwa ya kufanya.

    KAGERA Pict
  3. PRIME Azam, Yanga …. Mechi ya maamuzi, mabao

    YANGA inajivunia kuwa na wigo mpana wa kufunga mabao inapokwenda kukabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Alhamisi hii kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar, lakini...

    CHAMAZI Pict
  4. Penalti ya Pamba Jiji yamshangaza Minziro

    KITENDO cha Pamba Jiji kupewa mkwaju wa penalti dakika ya 90+7 kisha kukosa ilipotoka sare ya 1-1 na Fountain Gate, kimemshangaza zaidi kocha wa timu hiyo, Fredy Felix ‘Minziro’.

    MINZIRO Pict
  5. Kakolanya asimamishwa Namungo FC

    UONGOZI wa Namungo umethibitisha kumsimamisha kipa wao, Beno Kakolanya kwa kile kinachodaiwa ni utovu wa nidhamu huku mchezaji huyo akisubiri hatma yake baada ya suala lake kupelekwa kamati ya...

    KAKOLANYA Pict
  6. PRIME Tchakei: Ishu ya Simba, Yanga iko hivi

    UJIO wa Elvis Rupia ambaye ndiye kinara wa upachikaji wa mabao Singida Black Stars na Jonathan Sowah ni kama umemfunika Marouf Tchakei aliyekuwa anasumbua kikosini.

    TCHAKEI Pict
  7. PRIME Ligi Kuu bado kinawaka, wachezaji Yanga, Simba wakabana

    WAKATI burudani ya Ligi Kuu Bara ikiendelea kwa ushindani mkali kila kona, mapambano yamehamia katika mbio za kuwania kiatu cha dhahabu tuzo inayokwenda kwa mfungaji bora wa msimu.

    KIATU Pict
  8. PRIME Vita ya Pacome na Fei Toto sio ya kitoto!

    YANGA Alhamisi hii itakuwa ugenini ikimkabili Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao viungo Feisal Salum 'Fei Toto' na Pacome Zouzoua watakuwa na vita yao kwenye kutoa pasi za mwisho.

    PACOME Pict
  9. Namba zamkatisha tamaa Kocha Azam

    KIPIGO cha bao 1-0 ilichokipata Azam mbele ya Singida Black Stars, kimemfanya kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi kuonyesha dalili za waziwazi amekata tamaa.

  10. Coastal Union, Mwambusi wamalizana

    TAARIFA kutoka ilipo kambi ya Coastal Union, zinasema mchezo wao wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Jumatatu hii dhidi ya Yanga, kikosi hicho hakitaongozwa na kocha mkuu, Juma Mwambusi.

    MWAMBUSI Pict
Previous

Page 8 of 188

Next