PRIME Yanga yapiga hodi CAF, mipango yaanza KATI ya mashirikisho 54 ya soka Afrika ambayo yanapeleka timu zao kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika yanayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kila msimu, Tanzania tayari imepata...
Yanga yashinda ikiweka rekodi rekodi tatu MABINGWA watetezi, Yanga wameendelea kunyatia ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Fountain Gate, katika mchezo uliopigwa Jumatatu hii kwenye Uwanja wa...
Namungo yavunja mwiko wa dakika 270 USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata Namungo dhidi ya Mashujaa katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, umeifanya timu hiyo kuvunja mwiko wa dakika 270 na kushinda kwa mara ya kwanza dhidi ya wapinzani wao hao...
Lusajo Mwaikenda hashikiki kwa mabao BEKI wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda amevunja rekodi ya msimu uliopita ya mabeki waliofunga mabao mengi zaidi katika Ligi Kuu, baada ya nyota huyo kufunga moja na kufikisha matano katika ushindi wa...
Moto wa Jonathan Sowah si mchezo Bara MABAO mawili aliyofunga mshambuliaji wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah katika ushindi wa timu hiyo wa 3-0 dhidi ya Tabora United, yamemfanya kutishia upya ufalme wa washambuliaji wa Yanga...
Kocha Polisi Tanzania akubali yaishe KOCHA wa maafande wa Polisi Tanzania, Mussa Rashid amesema timu hiyo inapigania heshima ya kumaliza vizuri msimu huu, baada ya malengo waliyojiwekea ya kupigania nafasi nne za juu kukwama...
Julio akwepa Play-Off Kiluvya United KOCHA wa Kiluvya United, Julio Elieza amesema hataki kuiona timu hiyo ikiwa katika presha ya kumaliza katika nafasi ya kucheza mtoano (play-offs), ingawa malengo aliyopewa ni kuhakikisha kikosi...
Chama la Wana lazipotezea 8-1 za Yanga LICHA ya Stand United 'Chama la Wana', kuchapwa kwa mabao 8-1, dhidi ya Yanga katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), kocha wa kikosi hicho, Juma Masoud amesema kichapo hicho...
Fredrick Magata bado pointi tatu tu KIUNGO mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Fredrick Magata anasubiri kwa hamu kuandika historia tamu ya maisha yake kwa kuhusika katika kuzipandisha Ligi Kuu Bara timu mbili tofauti.
Azam yasaka rekodi Kombe la Muungano BAADA ya ndoto za Azam kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu kuota mbawa, kocha Rachid Taoussi kwa sasa amehamishia nguvu katika michuano ya Kombe la Muungano, ingawa anakabiliwa na mtihani...