Dewji aitangazia vita, Al Masry akianika sababu tatu
Mfadhili wa zamani wa Simba, Azim Dewji amewataka mashabiki wa timu hiyo kuamini kuwa itapata matokeo mazuri katika mechi ya marudiano dhidi ya Al Masry ya Misri, Aprili 9, 2025 kwenye Uwanja wa...