Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

720 results for Nevumba Abubakar :

  1. Simba Queens V JKT Queens kupigwa Mei 07

    DABI ya wanawake kati ya Simba Queens na JKT Queens imesogezwa mbele kutoka April 29 hadi Mei 07 kupisha mashindano ya timu ya taifa ya Futsal.

    DABI Pict
  2. Kocha Al Nassr ampa u-MVP Clara Luvanga

    KOCHA Mkuu wa Al Nassr ya wanawake, Aziz Alalwni amemtaja nyota wa kimataifa wa Tanzania, Clara Luvanga ndio mchezaji anayestahili tuzo ya mchezaji bora wa mwaka.

    CLARA Pict
  3. Tanzania, Cameroon patachimbika Morocco

    TIMU ya taifa ya wanawake ya Futsal, leo Jumatatu itashuka Uwanja wa Sportif Prince Moulay Abdallah, huko Morocco kukipiga dhidi ya Cameroon katika mchezo wa nusu fainali ya mashindano ya mchezo...

    MOROCCO Pict
  4. Yanga kunufaika na madogo hawa

    YANGA iko visiwani Pemba kwenye mashindano ya Kombe la Muungano lakini inachokifanya kwenye timu za vijana ni wazi itanufaika na matunda hayo.

    MADOGO Pict
  5. PRIME Mayele: Bidhaa ya Ligi Kuu inayotikisa soko Misri

    STRAIKA wa mabao Fiston Mayele ameendelea kuthibitisha kuwa mmoja wa washambuliaji bora zaidi katika bara hili kwa sasa akiwasha moto katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Ligi Kuu ya Misri akiwa na...

    MAYELE Pict
  6. Sichone aumaliza msimu mapema

    MSHAMBULIAJI wa Trident FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Zambia, Mourice Sichone amesema kwa asilimia kubwa malengo aliyojiwekea msimu huu yametimia.

    SICHONE Pict
  7. Mabula anaitaka namba Taifa Stars

    KIUNGO wa Kitanzania, Alphonce Mabula ni miongoni mwa nyota wanaofanya vizuri kwenye kikosi cha Shamakhi FC na mwenendo huo inaonyesha ni wazi anaitaka nafasi kwenye kikosi cha timu ya taifa...

    MABULA Pict
  8. TEMS: Mmiliki San diego anayefuata nyayo za waafrika hawa

    MWANADADA Temilade Openiyi ‘Tems’ ameungana na nyota wa zamani wa klabu ya Manchester United na Chelsea, Juan Mata kama sehemu ya wamiliki wa klabu ya soka ya San Diego FC inayoshiriki Ligi Kuu...

  9. Mukandayisenga: Namba zinambeba Yanga princess

    KAMA kuna wanachojivunia mashabiki wa Yanga Princess msimu huu basi ni usajili bora walioufanya kuanzia dirisha kubwa na lile dogo.

    SENGA Pict
  10. Abigail chams shoo 5 za nguvu zakumfananisha na Beyonce

    KATIKA burudani, suala la kuimba ni lingine na kufanya shoo ni lingine.

Previous

Page 6 of 72

Next