Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1630 results for Daudi Elibahati :

  1. Kocha Coastal ahamishia nguvu Bara

    KITENDO cha Coastal Union kutupwa nje ya mashindano ya Kombe la Muungano baada ya kuchapwa bao 1-0 dhidi ya Zimamoto katika hatua ya robo fainali, kaimu kocha mkuu wa kikosi hicho, Joseph Lazaro...

  2. Mtibwa noma, yarejea Ligi Kuu baada ya siku 332

    Sare ya bao 1-1, iliyoipata Mtibwa Sugar ugenini dhidi ya Bigman FC kwenye Uwanja wa Ilulu Lindi, imeifanya timu hiyo kurejea rasmi Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, huku ikiwa ya kwanza kukata...

  3. Taoussi awapa angalizo mastaa Azam FC

    BAO la Lusajo Mwaikenda dakika ya 63, limetosha kuipeleka Azam FC hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Muungano inayoendelea visiwani Pemba, baada ya kuifunga KMKM 1-0, huku Kocha Mkuu...

  4. Mtibwa Sugar ina dk 90 za kihistoria

    VINARA wa Ligi ya Championship, Mtibwa Sugar wana dakika 90 za kuamua hatma ya kurejea Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao kama watashinda mechi ya leo ugenini dhidi ya Bigman FC kwenye Uwanja wa Ilulu...

    MTIBWA Pict
  5. PRIME Yanga yaweka rekodi nyingine

    KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kuondoka jijini Dar es Salaam leo Ijumaa kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya ushiriki wa michuano ya Kombe la Muungano 2025 iliyoanza jana, huku ikiwa imeandika...

    YANGA Pict
  6. Noble aitwa kamati ya maadili Fountain Gate

    KIPA wa Fountain Gate raia wa Nigeria, John Noble ameitwa Kamati ya Maadili ya klabu hiyo, kwa lengo la kuhojiwa kutokana na makosa mawili aliyofanya ya kuruhusu mabao mawili yaliyochangia timu...

    NOBLE Pict
  7. Kombe la Muungano vita ya Bara, Visiwani

    PAZIA la michuano ya Kombe la Muungano, linafunguliwa Alhamisi hii kwa mchezo mmoja wa robo fainali ambapo Singida Black Stars itaanza kampeni ya kusaka taji hilo dhidi ya JKU, saa 11:00 jioni.

  8. PRIME Yanga yapiga hodi CAF, mipango yaanza

    KATI ya mashirikisho 54 ya soka Afrika ambayo yanapeleka timu zao kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika yanayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kila msimu, Tanzania tayari imepata...

  9. Yanga yashinda ikiweka rekodi rekodi tatu

    MABINGWA watetezi, Yanga wameendelea kunyatia ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Fountain Gate, katika mchezo uliopigwa Jumatatu hii kwenye Uwanja wa...

  10. Namungo yavunja mwiko wa dakika 270

    USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata Namungo dhidi ya Mashujaa katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, umeifanya timu hiyo kuvunja mwiko wa dakika 270 na kushinda kwa mara ya kwanza dhidi ya wapinzani wao hao...

    NAMUNGO Pict
Previous

Page 6 of 163

Next