Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1174 results for Charles Abel :

  1. AKILI ZA KIJIWENI: Taoussi ana kazi kubwa Azam

    AZAM FC inaomba Mungu aijaalie ipate tiketi ya kushiriki mashindano ya kimataifa msimu ujao, licha ya ushindani inaopata kutoka kwa Singida Black Stars hapo kwenye nafasi ya tatu ambako wapo.

  2. AKILI ZA KIJIWENI: Kaseja sasa ndo ameanza kazi Kagera

    SIKU za mwanzoni za Juma Kaseja ndani ya Kagera Sugar baada ya kukabidhiwa ukocha mkuu zilikuwa tamu sana kutokana na mwenendo mzuri ambao timu hiyo ilikuwa nao wakati kipa huyo wa zamani wa...

  3. AKILI ZA KIJIWENI: Bao la Mbeya City limpe somo Chamou

    MUDATHIR Said alipiga bao kali sana dhidi ya Simba kwenye mechi ya robo fainali ya Kombe la FA lakini bahati mbaya bao lake halikuisaidia timu yake na ikajikuta ikichapwa mabao 3-1.

  4. PRIME Wanne Simba wabeba tumaini

    SIMBA tayari ipo visiwani Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini, huku mastaa wanne wa klabu...

  5. Sh 11.8 bilioni zatua akaunti Simba

    Kufuzu kwa Simba nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuitoa Al Masry kwa mikwaju ya penalti 4-1, kunamaliza kiu ambayo ilikuwa nayo tangu 2018 ilipoanza kujijenga upya baada ya...

    MZIGO Pict
  6. Msuva mambo yamenoga Ligi Kuu Iraq

    Bao moja ambalo Saimon Msuva ameifungia timu yake ya Al Talaba dhidi ya Al Karma juzi kwenye Ligi Kuu ya Iraq, limemfanya nyota huyo wa Taifa Stars kufikisha mabao tisa kwenye ligi hiyo, idadi...

  7. Mkongomani kuamua Simba vs Stellenbosch CAFCC

    Refa mzoefu Jean Jacques Ndala kutoka DR Congo ndiye amepangwa kuchezesha mechi ya kwanza nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba na Stellenbosch ya Afrika Kusini kwenye Uwanja...

  8. Simba yang'ara tuzo za Machi

    Bodi ya Ligi pia imetaja washindi wa tuzo nyingine kwa mwezi Machi.

  9. Mo Salah kulamba mshahara mnono Liverpool

    Liverpool itamlipa kiasi cha Pauni 2,232 (Sh7.6 milioni) kwa saa mshambuliaji wake Mohamed Salah kupitia mkataba mpya baina yake na nyota huyo wa Misri.

  10. AKILI ZA KIJIWENI: Salamu za kijiwe kwa Singida Black Stars

    WARAKA huu unatoka hapa kijiweni kwenda kwa chui wa Singida, timu ya Singida Black Stars inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa pili sasa.

    SINGIDA Pict
Previous

Page 6 of 118

Next