Mwenyekiti Soka la Wanawake Mbeya afariki dunia Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Soka la Wanawake Mkoa wa Mbeya (MWFA), Atupakisye Jabir, amefariki dunia leo Aprili 3, 2025 wakati akipatiwa matibabu kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini...
Sillah, Saadun wailiza KenGold, Taoussi achekelea Harakati za kujinasua mkiani kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara zimeendelea kuwa ngumu kwa KenGold baada ya kukumbana na kipigo cha mabao 2-0 dhidi ya Azam FC. Katika mchezo wa leo Aprili 3, 2025...
Dakika 450 za Malale kufa, kupona Mbeya City Kocha Mkuu wa Mbeya City, Malale Hamsini amesema anafahamu ugumu uliopo katika Ligi ys Championship huku akieleza kuwa mkakati wake ni kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo kuirejesha Ligi Kuu Bara.
Morrison asimulia machungu kuikosa Ligi WINGA wa Ken Gold, Bernard Morrison amesema licha ya kurejea mazoezini na wenzake lakini bado hajawa fiti kucheza mechi akiomba muda zaidi kuwa sawa, huku akilia kuikosa Ligi Kuu.
Mayanga awavuruga Mbeya City akitajwa kuibukia Mashujaa Tetesi za kuondoka kwa Kocha Mkuu wa Mbeya City, Salum Mayanga zimeonekana kuwashtua vigogo wa timu hiyo wakieleza kuwa bado hawajapata taarifa rasmi, huku wakitoa msimamo mzito.
Championship vita imehamia huku WAKATI Mtibwa Sugar ikizidi kupepea kileleni, kibarua kipo kwa miamba minne kusaka nafasi mbili za juu kwenye Championship kuitafuta Ligi Kuu msimu ujao.
Mashujaa FC yaamka, Ngushi atoa msimamo WAKATI kaimu kocha mpya wa Mashujaa, Charles Fred akichekelea kuanza vyema kibarua baada ya kuambulia sare ya 2-2 ugenini mbele ya KenGold, mshambuliaji wa timu hiyo, Crispin Ngushi amesema kasi...
Ken Gold yabanwa Sokoine, mashabiki watawanywa na polisi Ken Gold imeshindwa kujinasua mkiani baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Mashujaa, huku mashabiki wa timu hiyo wakionekana kuvurugwa na matokeo hayo.
KenGold, Mashujaa acha tuone, Morison bado WAKATI KenGold na Mashujaa zikishuka uwanjani leo, makocha wa timu hizo wamepiga hesabu kali kila mmoja akisisitiza pointi tatu muhimu.
Si bure, Tanzania Prisons kuna mkono wa mtu ACHANA na matokeo ya Azam FC kuondoshwa katika michuano ya Kombe la Shirikisho kwa kufungwa na Mbeya City, hali imezidi kuwa mbaya kwa Tanzania Prisons ikiendelea kuyumba ikiwa ni kati ya timu...