Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1869 results for Charity James :

  1. Yanga, KVZ kazi ipo Kombe la Muungano

    BAADA ya Singida Black Stars kuenguliwa na JKU kwa penalti 6-5 leo itakuwa ni zamu ya Yanga kuvaana na KVZ katika mechi ya michuno ya Kombe la Muungano 2025, ikikumbushia mechi mbili za Kombe la...

    YANGA Pict
  2. PRIME Ishu ya Diarra kuondoka Yanga iko hivi

    MASHABIKI wa Yanga wamekuwa na presha baada ya kuenea taarifa kwamba kipa namba moja Diarra Djigui anajiandaa kuondoka, lakini kocha mkuu Miloud Hamdi ameweka msimamo, huku akiwatoa hofu...

    DIARA Pict
  3. Beki KMC ajiandaa kutua Al Hilal

    BEKI wa KMC, Raheem Shomary akiwa katika harakati za kuipambania timu hiyo ishishuke daraja ikiwa imebakiza mechi nne mkononi huenda akawa sehemu ya kikosi kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa...

    BEKI Pict
  4. Namba 866 kwa Sowah na kasi ya kutupia

    NI Azam FC na KMC tu ambazo hajazifunga kati ya timu 11 alizocheza nazo tangu amejiunga na Singida Black Stars katika dirisha dogo la usajili msimu. Huyu ni mdunguaji hatari kabisa kutoka Ghana...

  5. Mayanga atenga siku nane Mashujaa

    MASHUJAA imebakiwa na dakika 360 za kibabe kumaliza msimu wa 2024/25, huku kocha wa timu hiyo, Salum Mayanga akisisitiza anataka kutumia siku nane kujipanga ili kuona wanatoboaje mbele ya Simba.

  6. PRIME Munthari: Najutia sana kukatisha soka la Nsa Job

    “Nina matukio mawili makubwa ambayo licha ya soka kuniendesha linavyotaka lakini na mimi naendeshwa na hayo matukio kutokana na kutokuwa mazuri kwangu na hayawezi kufutika kwenye maisha yangu ya...

  7. Saadun: Lilikuwa ni suala la muda, huu ni wakati wangu

    “Huu ni wakati wangu, lilikuwa ni suala la muda na mimi kufanya hiki ninachokifanya baada ya kurudi kucheza Tanzania.

  8. Fountain Gate yamsimamisha kipa kisa mabao  ya Yanga 

    UONGOZI wa Fountain Gate umemsimamisha kipa wake John Noble kwa makosa yanayodaiwa kuwa ni ya kizembe kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Yanga timu hiyo ikikubali kichapo cha mabao 4-0.

  9. Mo Dewji amkingia kifua Ahoua, aitaja Stellenbosch

    SIKU moja baada ya kiungo wa Simba, Charles Ahoua kukosa nafasi ya wazi ambayo ingeisaidia timu hiyo kushinda mabao mawili dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini kwenye uwanja wa nyumbani...

    momo
  10. Fountain Gate yamkomalia Yusuphu Athuman

    SIKU chache baada ya mshambuliaji Yusuph Athuman kutambulishwa na Yangon United ya Ligi Kuu Myanmar, uongozi wa Fountain Gate imeibuka na kuweka wazi kuwa bado ni mchezaji wao halali.

Previous

Page 5 of 187

Next