Stars kambini bila mastaa Yanga KIKOSI cha timu ya Taifa 'Taifa Stars' kitakachocheza mechi ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia kimeitwa kambini, lakini wachezaji wa Yanga watachelewa kujiunga nacho.
Beki mpya Yanga aibua jambo DR Congo MASHABIKI wa FC Lupopo wameandamana mpaka kwa mabosi wa klabu yao wakigomea kuondoka kwa beki Chadrack Boka, anayetakiwa na Yanga. Chanzo cha maandamano hayo ni mchezo wa TP Mazembe dhidi ya FC...
Kwa Mkapa kumenoga ZIKIWA zimesalia saa tatu tu ili mechi muhimu kati ya Yanga na Tabora United ichezwe, mashabiki nao hawapo nyuma.
Nabi amshauri Aziz Ki, akimtaja Mayele KOCHA wa zamani Yanga, Nasreddine Nabi amemshauri kinara wa mabao na kiungo mshambuliaji wa mabingwa hao wa Tanzania, StephaneAziz Ki juu ya mipango ya kuondoka klabuni hapo akikumbushia ishu ya...
Gamondi ashindwa kujizuia kwa Maxi KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ameshindwa kujizuia kwa kumtaja kiungo Maxi Nzengeli, kuwa ni miongoni mwa wachezaji waliokibeba kikosi hicho msimu huu, tofauti na mitazamo ya wengi. Maxi...
KIMENYA: Miaka 11 Prisons, mafanikio bila majuto Hata hivyo, wengi wanasema vipaji vyao ni tangu utotoni. Ni kweli, vipaji vingi huonekana tangu utotoni na kinapoendelezwa ndio kinakwenda kubadilisha maisha ya mchezaji na hata familia yake.
PRIME Saa saba za Boka, Yanga mezani bila matumaini DILI la Yanga na beki Chadrack Boka wa FC Lupopo limeingia ugumu baada ya pande zote mbili kukaa mezani kwa saa saba bila kufikia muafaka.
PRIME Pokou, Simba freshi asubiri tiketi atue Dar KIUNGO wa Asec Mimosas Serge Pokou amesema anasubiri tiketi ya ndege kutoka Simba ili atue Dar es Salaam.
PRIME Maswali manne ishu ya Phiri kutua Yanga WAKATI Yanga ikisubiri kujua hatIma ya sakata la kimkataba la mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube Inayempigia hesabu za kumchukua mwisho wa msimu huu, mabosi wa Jangwani wamerudi kwa...
Kibabage asimulia alivyojikuta hospitali, mama azungumza BEKI wa kushoto wa Yanga, Nickson Kibabage amesema kwamba alijikuta hospitali baada ya kupoteza fahamu katika mchezo wa Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Ihefu SC jana, lakini hakumbuki nini...