Kakolanya kusalia Simba VINARA wa Ligi Kuu Bara, Simba wanaendelea kuimarisha kikosi chao kwa kuwaongeza mikataba wachezaji ambao mwisho wa msimu huu unamalizika. Mmoja wa watu waliokuwa katika benchi la Simba...
Tanzania yatinga fainali CECAFA TIMU ya Tanzania chini ya miaka 23 imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya kombe la CECAFA kwa vijana baada ya kuifunga Sudan Kusini bao 1-0, katika hatua ya nusu fainali mchezo uliopigwa katika...
Imeisha hiyoo...Aziz Ki amalizana na Yanga IMEISHA hiyooo. Habari ziwafikie wanachama na mashabiki wa Yanga kuwa sasa ni uhakika msimu ujao eneo la ushambuliaji la timu hiyo atakuwapo staa kutoka Burkina Faso, Stephane Aziz Ki baada ya...
PRIME Ishu ya Banda Simba ipo hivi WAKATI Simba ikiwa hatua za mwisho kumpa 'Thank You' kiungo Ismael Sawadogo, winga Peter Banda anadaiwa kugoma kupelekwa kwa mkopo katika timu nyingine akitaka avunjiwe mkataba kama hayupo kwenye...
Yanga sasa ni straika Mkongo YANGA iko katika mazungumzo na mastraika wawili hatari lakini kati ya hao mmoja wa haraka ambaye anatakiwa na kocha wao Nesreddine Nabi ni Fiston Mayele wa AS Vita ya DR Congo. Nabi anataka...
ZA NDAANI KABISA: Azam, Simba zamsikilizia Nabi WAKATI taarifa zikidai mabosi wa Yanga wanafikiria kufumua benchi lao la ufundi chini ya kocha Nasreddine Nabi, Za Ndaani Kabisa zinasema wenzao Azam FC wanasikilizia maamuzi hayo, ili wambebe...
Vodacom wavunja mkataba Ligi Kuu MSIMU ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara haitaitwa tena Vodacom Primier Ligue (VPL) baada ya Vodacom kuvunja mkataba wa kuendelea kuwa mdhamini wa Ligi Kuu kwa sababu mbalimbali zilizoelezwa na...
Amrouche awapotezea Fei toto, Kapombe Stars Kocha wa Taifa Stars Adel Amrouche ameendelea kuwapotezea kiungo wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' na mabeki wa Simba wa pembeni Mohamed Hussein 'Tshabalala' na Shomari Kapombe. Katika orodha...
Yanga yafafanua mazungumzo na SportPesa Taarifa iliyoshtua wengi ni juu ya wadhamini wakuu wa Yanga kampuni ya SportPesa kulalamika hatua ya klabu hiyo kuingia mkataba na wadhamini wengine wakuu maalum lakini bosi mmoja...
Moloko, Aucho waipa nguvu mpya Yanga Benchi la ufundi la Yanga limefurahishwa na kurejea kwa haraka kwa winga wake Jesus Moloko na nyota wengine waliokuwa majeruhi likiamini watakuwa msaada mkubwa katika mechi zilizosalia za Ligi...