Dakika za jioooni: Tanzania Prisons presha tupu PRESHA inazidi kupanda na kushuka kwa Tanzania Prisons kutokana na matokeo iliyonayo katika Ligi Kuu Bara, huku ikitahadharishwa kutojirudia yaliyotokea msimu wa 2010/11 na 2021/22.
Chama la Wana lapiga mkwara Championship STAND United ‘Chama la Wana’ imesema dakika 90 iliyoiangalia Yanga imeona ugumu ulipo ikieleza kuwa licha ya kuiheshimu lakini haitaingia uwanjani kinyonge.
DAKIKA ZA JIOOONI: Mshale wa saa unavyoikimbiza KenGold Championship KATIKA mchezo wa soka, wanasema kosea mambo yote, lakini hakikisha timu inafanya usajili wa maana kwani ukikosea hapo tu, majuto yake ni makubwa zaidi.
Mwanjala arejea MREFA akizitaja Prisons, KenGold na Mbeya City Elias Mwanjala amerejea kukiongoza Chama Cha Soka Mbeya (MREFA) huku akizitaja Tanzania Prisons, KenGold na Mbeya City akisisitiza lazima mpira uchezwe upya.
Tanzania Prisons yamtibulia Kaseja ikiweka rekodi Sokoine Baada ya kusaka ushindi katika mechi nane mfululizo bila mafanikio, hatimaye Tanzania Prisons imeikandamiza Kagera Sugar na kumtibulia rekodi Kocha Juma Kaseja.
Prisons yakabidhiwa viongozi wa dini, kimila kuinusuru Kawia ufike. Ni neno unaloweza kueleza baada ya uongozi wa Tanzania Prisons kuwaita wadau kujadili namna ya kuinusuru timu hiyo kukwepa aibu ya kushuka daraja.
Ligi Kuu Bara leo utamu uko hapa KUNA uhondo wa mechi nne za Ligi Kuu Bara Jumapili hii ambapo zimekaa kimtego kweli, huku kila timu ikipiga hesabu kali kinoma.
Mbosso aiombea Tanzania tuzo za hifadhi Afrika SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) limeingiza Hifadhi 10 kuwania tuzo za hifadhi bora Afrika, huku msanii Mbwana Yusuph 'Mbosso' akiomba wananchi kupigia kura kwa wingi ili Tanzania...
KenGold wajipa matumaini Ligi Kuu Bara WAKATI Kocha Mkuu wa Ken Gold, Omari Kapilima akituliza presha kwa mashabiki, timu hiyo haishuki daraja, habari njema ni baadhi ya mastaa waliokuwa nje kwa changamoto mbalimbali huenda wakarejea...
PRIME Fei Toto atoa kauli nzito Azam FC KIUNGO wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema mechi sita zilizobaki ni kucheza kufa na kupona kwani lolote linaweza kutokea katika vita ya ubingwa, huku akifichua siri kinachomkwamisha kufunga...