Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1055 results for Saddam Sadick :

  1. Dakika za jioooni: Tanzania Prisons presha tupu

    PRESHA inazidi kupanda na kushuka kwa Tanzania Prisons kutokana na matokeo iliyonayo katika Ligi Kuu Bara, huku ikitahadharishwa kutojirudia yaliyotokea msimu wa 2010/11 na 2021/22.

    DAKIKa Pict
  2. Chama la Wana lapiga mkwara Championship

    STAND United ‘Chama la Wana’ imesema dakika 90 iliyoiangalia Yanga imeona ugumu ulipo ikieleza kuwa licha ya kuiheshimu lakini haitaingia uwanjani kinyonge.

  3. DAKIKA ZA JIOOONI: Mshale wa saa unavyoikimbiza KenGold Championship

    KATIKA mchezo wa soka, wanasema kosea mambo yote, lakini hakikisha timu inafanya usajili wa maana kwani ukikosea hapo tu, majuto yake ni makubwa zaidi.

    JIONI Pict
  4. Mwanjala arejea MREFA akizitaja Prisons, KenGold na Mbeya City

    Elias Mwanjala amerejea kukiongoza Chama Cha Soka Mbeya (MREFA) huku akizitaja Tanzania Prisons, KenGold na Mbeya City akisisitiza lazima mpira uchezwe upya.

    MWANJALA Pict
  5. Tanzania Prisons yamtibulia Kaseja ikiweka rekodi Sokoine

    Baada ya kusaka ushindi katika mechi nane mfululizo bila mafanikio, hatimaye Tanzania Prisons imeikandamiza Kagera Sugar na kumtibulia rekodi Kocha Juma Kaseja.

    Matokeo Pict
  6. Prisons yakabidhiwa viongozi wa dini, kimila kuinusuru

    Kawia ufike. Ni neno unaloweza kueleza baada ya uongozi wa Tanzania Prisons kuwaita wadau kujadili namna ya kuinusuru timu hiyo kukwepa aibu ya kushuka daraja.

    Prisons Pict
  7. Ligi Kuu Bara leo utamu uko hapa

    KUNA uhondo wa mechi nne za Ligi Kuu Bara Jumapili hii ambapo zimekaa kimtego kweli, huku kila timu ikipiga hesabu kali kinoma.

  8. Mbosso aiombea Tanzania tuzo za hifadhi Afrika

    SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) limeingiza Hifadhi 10 kuwania tuzo za hifadhi bora Afrika, huku msanii Mbwana Yusuph 'Mbosso' akiomba wananchi kupigia kura kwa wingi ili Tanzania...

  9. KenGold wajipa matumaini Ligi Kuu Bara

    WAKATI Kocha Mkuu wa Ken Gold, Omari Kapilima akituliza presha kwa mashabiki, timu hiyo haishuki daraja, habari njema ni baadhi ya mastaa waliokuwa nje kwa changamoto mbalimbali huenda wakarejea...

    KAPILIMA Pict
  10. PRIME Fei Toto atoa kauli nzito Azam FC

    KIUNGO wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema mechi sita zilizobaki ni kucheza kufa na kupona kwani lolote linaweza kutokea katika vita ya ubingwa, huku akifichua siri kinachomkwamisha kufunga...

    FEISAL Pict
Previous

Page 4 of 106

Next