Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1655 results for Daudi Elibahati :

  1. Vipigo vikubwa hatua ya makundi CAFCL

    WAKATI hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikiisha na sasa ikisubiriwa tu michezo ya robo fainali, tumeshuhudia vipigo vikali na vya fedheha ambavyo vimetokea na kuacha simanzi katika...

    Vipigo Pict
  2. PRIME Simba kupita njia hii CAF

    SIMBA SC imefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kibabe baada ya kuifunga CS Constantine ya Algeria mabao 2-0, na kuongoza kundi A kwa kufikisha pointi 13 ikiwaacha Waarabu...

    Simba Pict
  3. Mastaa wamkosha Mfaransa Singida Black Stars

    KOCHA wa Singida Black Stars, Mfaransa Miloud Hamdi amesema hadi sasa kikosi hicho kiko katika mwelekeo mzuri ingawa ana kazi kubwa ya kufanya kwenye mzunguko huu wa pili wa Ligi Kuu Bara...

    Singida Pict
  4. Mastraika Mbeya wamkosha Massawe

    KATIKA kuhakikisha Mbeya Kwanza inafanya vizuri ili kutimiza malengo ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, kocha wa timu hiyo, Emmanuel Massawe ameweka wazi kuridhishwa na safu yake ya...

    Mbeya Pict
  5. Ongala: Chilunda atawashangaza

    BAADA ya KMC kukamilisha usajili wa mshambuliaji, Shaaban Idd Chilunda, kocha wa kikosi hicho Kally Ongala amesema nyota huyo atawashangaza wengi kutokana na uzoefu aliokuwa nao, huku akiweka...

    Ongala Pict
  6. Madenge aja kivingine Biashara United

    KOCHA wa Biashara United, Omary Madenge amesema kwa sasa kikosi hicho kinapigania kubaki katika Ligi ya Championship kwa msimu ujao, baada ya malengo yao ya kukipandisha Ligi Kuu Bara kukwama...

    Madenge Pict
  7. Sabilo, Ludovick waongeza mzuka TMA

    BAADA ya TMA kukamilisha uhamisho wa aliyekuwa nyota wa JKT Tanzania, Sixtus Sabilo na kiungo Venance Ludovick, katibu mkuu wa timu hiyo, Christopher Marcus amesema wachezaji hao watakuwa na...

    Sabilo Pict
  8. Matano akomalia mifumo Fountain Gate

    KOCHA wa Fountain Gate, Mkenya Robert Matano amesema anahitaji zaidi ya wiki mbili ndani ya kikosi hicho ili wachezaji wa timu hiyo waweze kuendana na mifumo yake, licha ya kukiri mapokezi kwa...

    Matano Pict
  9. Yanga yakwama kwenda robo CAFCL

    YANGA imeshindwa kukata tiketi ya kucheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya pili mfululizo baada ya jioni hii kulazimishwa suluhu na MC Alger ya Algeria kwenye Uwanja wa...

    Robo Pict
  10. Mserbia apewa masharti KenGold

    KenGold imefikia makubaliano ya kumpa mkataba wa miezi sita kocha mpya raia wa Serbia, Vladislav Heric iliyomtambulisha jana Jumamosi, huku akipewa masharti ya kuhakikisha kikosi hicho chenye...

    KenGold Pict
Previous

Page 25 of 166

Next