Kimenya aongeza idadi ya wastaafu Prisons IDADI ya wachezaji wa Tanzania Prisons kutamani kustaafu soka imeendelea kuongezeka baada ya Salum Kimenya, kuonesha nia ya kutundika daruga ili kugeukia shughuli nyingine nje ya uwanja.
Simba, Dodoma Jiji kupigwa Jamhuri HATIMAYE Uwanja wa Jamhuri, Dodoma umerejeshwa katika orodha ya viwanja vinavyotumika kwa michezo ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/2025, baada ya kufanyiwa maboresho katika maeneo ambayo...
PRIME JICHO LA MWEWE: Miaka 26 baadae, kutoka Mmachinga hadi Aziz Ki MIAKA 26 iliyopita, mwaka 1998 nilikatiza katika geti la Magharibi la Shule ya Sekondari ya Jitegemee kwenda uwanja wa zamani wa Taifa, (sasa Uhuru maarufu Shamba la Bibi) kushuhudia Yanga...
Kriketi T20: Tanzania yailiza Mali, Ghana Malawi safi INAWEZA ikaingia katika vitabu vya rekodi kama mechi rahisi kuliko zote Tanzania imewahi kushinda katika mchezo wa kriketi baada ya kuifunga Mali kwa wiketi 10 katika mchezo wa ufunguzi wa...
Mbeya City yaanza visingizio Championship SARE ya kufungana mabao 2-2, iliyoipata Mbeya City juzi dhidi ya Bigman FC katika mchezo wa Championship, imeonekana kuwavuruga vigogo wa timu hiyo huku kocha msaidizi, Baraka Kibingu akitoa...
Kwa Joh Makini hakuna mwingine kama Jide KABLA ya Joh Makini alitumia jina la Rapcha, na sasa ni miaka 18 tangu ametoka rasmi kimuziki na bado anaendelea kuwahudumia mashabiki wake kwa nyimbo kali za rap na maonyesho ya hapa na pale.
Yanga Mwendo mdundo! WABABE wa soka nchini, Yanga usiku wa jana ilikuwa visiwani Zanzibar kumalizana na CBE SA ya Ethiopia katika mechi ya marudiano ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku ikiwa na rekodi...
Fei Toto amkingia kifua Prince Dube KIKOSI cha Yanga jana usiku kilikuwa uwanjani kurudiana na CBE SA ya Ethiopia katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku mashabiki wakiwa bado wanamuota Prince Dube kwa...
Azam Media haikupaswa kususia ndondi MABONDIA, wapenzi wa ngumi na wanamichezo kwa sasa wamepigwa na butwaa baada ya Kampuni ya Azam Media kutangaza haitajihusisha tena na urushaji wa matangazo ya moja kwa moja ya mchezo huo.
Fadlu ala kiapo Kwa Mkapa, Walibya kazi wanayo SIMBA inatupata karata muhimu leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya ikihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika...