Gets Program kurudi upya WPL KOCHA wa Get Program iliyopanda daraja msimu huu, Aristides Ngowi licha ya kuwa na wachezaji wengi vijana ambao hawana uzoefu na ligi, lakini wanapambana jambo linalowapa motisha ya kujipanga...
Hili hapa chama la Malaika Meena England NYOTA wa Kitanzania, Malaika Meena amesema ana furaha kubwa kujiunga na Bristol City inayoshiriki Ligi ya Wanawake ya Championship ya England, huku akitaja malengo yake ni kuipandisha timu ligi kuu.
Simba, Yanga kazi ipo Machi 4 DABI ya watani wa jadi inayowakutanisha Simba na Yanga itapigwa Machi 4 baada ya mapumziko ya siku 30 ya Ligi. Dabi hiyo ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) inapigwa siku nne tu kabla ya watani hao kwa...
Ushindi mechi nne mfululizo wamkosha Mourinho KOCHA wa Yanga Princess, Edna Lema 'Mourinho' amesema ushindi wa mechi nne mfululizo kwenye ligi zinachangiwa na juhudi za wachezaji wake waliopambana hasa duru la pili.
Ndugu zake Aziz KI, Diarra washushwa Dar WAKATI Ligi ya Wanawake ikisaliwa na mechi sita, Ligi ya Mkoa nayo ikitarajiwa kuanza, Ukerewe Queens ambayo kwa sasa inaitwa Tausi FC imefanya usajili wa maana kujiandaa na ligi hiyo ikiwaleta...
Moto wa Clara Luvanga wawatisha Waarabu MOTO wa straika wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Clara Luvanga haupoi na safari hii anawania tuzo ya mchezaji bora wa mwezi mbele ya Waarabu.
Charles M'Mombwa mdogo mdogo Newcastle KIUNGO Mtanzania, Charles M'Mombwa anayekipiga Newcastle Jets ya Australia taratibu anaanza kuingia kwenye kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu ya nchini humo.
Mnamzingatia Novatus Miroshi? lakini... ACHANA na beki Ibrahim Abdullah 'Bacca' wa Yanga kuingia kambani mara nne akiwa ni beki pekee mwenye mabao mengi Ligi Kuu, kuna kiraka Novatus Miroshi wa Goztepe ya Ligi Kuu ya Uturuki (Süper...
Opah amfuata Singano Mexico NAHODHA wa timu ya Taifa ya wanawake ya Twiga Stars, Opah Clement amejiunga na FC Juarez ya Mexico anayochezea Mtanzania mwenzake, Julietha Singano.
Huyu anamkaba Gomez Wydad AC WIKI iliyopita Singida Black Stars iliripoti kuwa imemuuza mshambuliaji wake Mtanzania Selemani Mwalimu ‘Gomez’ kwenda Wydad AC ya Morocco.