Hebu sikia hii kali ya Mascherano, Alonso STAA wa zamani wa Liverpool, Javier Mascherano amesema anamwombea mabaya Xabi Alonso kwamba asifanikiwe kwenye kibarua chake mpya huko Real Madrid.
Ni zamu ya ‘The Blues’ Kombe la Dunia la Klabu MCHAKAMCHAKA chinja, ndicho unachoweza kusema kuhusu kasi ya michuano ya fainali za Kombe la Dunia la Klabu, ambapo Chelsea itakuwa na kibarua kizito cha kukabiliana na straika wao wa zamani...
Nunez aingia anga za Napoli, Liverpool ikipokea ofa ya Al Nassr NAPOLI inakumbana na upinzani mkali kutoka timu za Saudi Arabia katika mpango wake wa kutaka kumsajilj straika wa Liverpool na timu ya taifa ya Uruguay, Darwin Nunez.
Liverpool imemnasa Wirtz kibabe sana LIVERPOOL imepambana vita kali kwenye mchakamchaka wa kunasa saini ya kiungo mshambuliaji wa Kijerumani, Florian Wirtz ikifikia makubaliano ya kumsajili kwa ada ya Pauni 116 milioni.
MAGIC JOHNSON: Kinara wa asisti fainali NBA KATIKA ulimwengu wa mpira wa kikapu kuna usemi maarufu unaosema “mpira unapita haraka kuliko mchezaji.” Hii inaashiria umuhimu wa pasi sahihi katika kuongoza timu kupata ushindi.
Ule mzigo wa Kombe la Dunia la Klabu unaanza ILE siku imefika. Mambo ni moto huku kwenye fainali za Kombe la Dunia la Klabu na utepe utakatwa uwanjani Hard Rock, Florida wakati chama la supastaa Lionel Messi, Inter Miami litakapomenyana na...
Arsenal yakoleza moto kwa Gyokeres ARSENAL imeripotiwa kukoleza moto kunasa saini ya straika Viktor Gyokeres kutoka Sporting CP kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Man united, Arsenal zamtia wazimu Gyokeres VIKTOR Gyokeres ametishia kuingia kwenye mgomo ili kulazimisha kuuzwa dirisha hili la majira ya kiangazi, imeelezwa.
Matheus Cunha ameshatua kuwashika MANCHESTER United imetangaza ujio wa staa mpya kikosini, Matheus Cunha.
Masupastaa 30 wa kutazamwa Kombe la Dunia la Klabu KIPYENGA cha fainali za Kombe la Dunia la Klabu 2025 kinapulizwa na Inter Miami ya Marekani itakata utepe na Al Ahly ya Misri uwanjani Hard Rock huko Miami, Florida, Jumamosi huko Marekani na kwa...