AKILI ZA KIJIWENI: Aziz Ki asiwachukulie poa wale Yanga ILE Yanga sio timu yenye rafiki au adui wa kudumu. Muda wowote unaweza kuwa rafiki yao na dakika sifuri wanaweza kukugeuka ukawa adui wao.
Ligi Kuu Bara imesimama na utamu wake Ligi Kuu ya NBC msimu huu wa 2024/2025 imesimama kupisha mapumziko ya kupisha kalenda ya mechi za timu za taifa ambapo kwa hapa Afrika kutakuwa na mechi za kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya...
PRIME Simba yatuma salamu Angola, yaituliza Bravos mapema HIZI ni habari njema kwa Simba ambayo inajiandaa kuivaa timu ya Onze Bravos katika hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika na mashabiki wa Msimbazi watapenda kuzisikia.
AKILI ZA KIJIWENI: Dirisha dogo ni mwenye nguvu mpishe TUNATAMANI sana kuona dirisha dogo la usajili msimu huu lifike hapo mwezi Desemba kuanzia tarehe 15 ili hicho ambacho timu zinakipigia hesabu tuone kama kitatimia.
AKILI ZA KIJIWENI: Minziro, Medo wana nafasi ya kutoboa KIJIWENI hapa hatukushangaa kuona Pamba Jiji ikimchukua Felix Minziro kumrithi Goran Kopunovic baada ya kumtimua kama ambavyo Kagera Sugar walifanya kwa Melis Medo baada ya kuachana na Paul Nkata.
AKILI ZA KIJIWENI: Bora Msuva, Kapombe walivyorudi Stars MJADALA hapa ni uteuzi wa kikosi cha Taifa Stars ambacho kitacheza mechi mbili za kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 dhidi ya Ethiopia na Guinea hapo baadaye.
Azam Complex na nuksi ya kadi nyekundu Ligi Kuu Mzimu wa kadi nyekundu unaonekana kutawala katika Uwanja wa Azam Complex kulinganisha na viwanja vingine vinavyotumika kwa Ligi Kuu msimu huu.
AKILI ZA KIJIWENI: Kwa Pacome Tuweke akiba ya maneno PACOME atabaki Yanga kwa kuongeza mkataba mpya au ataondoka na kujiunga na timu nyingine ndivyo tunavyojiuliza hapa kijiweni.
AKILI ZA KIJIWENI: Marefa wanashindana kufanya makosa KUIGA kitu kizuri sio jambo baya na hasa kile kinachoigwa kinagusa moja kwa moja umma kwa hisia chanya badala ya hasi.
AKILI ZA KIJIWENI: Wanaotamani Mtibwa irudi Ligi Kuu ni wengi MTIBWA Sugar ni kama yule mnyama anaitwa Ngekewa ambaye porini anapendwa na kundi kubwa la wanyama wenzake.