Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

105 results for Miguel Suleyman :

  1. Ndinga hili tishio jipya mbio za magari

    MAFANIKIO yaliyoletwa na Kampuni ya magari ya Toyota kutokana na ubora wa gari lao aina ya Toyota R5, yamewapa mzuka madereva wa mbio hizo kutaka kuendelea nayo katika mashindano yajayo.

    Ndinga Pict
  2. Lina Tour sasa kuanzia Moro

    RAUNDI ya kwanza ya michuano ya Lina Tour kwa mwaka huu inatarajiwa kufanyika katika viwanja vya Gymkhana, mjini Morogoro na si Arusha kama ilivyotangazwa awali. Kabla ya mabadiliko haya...

    Ninja Pict
  3. FIA yaipa Tanzania raundi ya tano ya ARC

    CHAMA cha mchezo wa mbio za magari duniani, FIA kimetoa kalenda mpya ya mbio za magari ubingwa wa Afrika na Tanzania itaandaa raundi ya tano na si ya nne kama ilivyotangazwa awali.

    FIA Pict
  4. Madina, Vicky wakwama gofu Sauzi

    NYOTA wa Tanzania, Madina Iddi na Vicky Elias wameambulia patupu kwenye mashindano ya gofu ya mashimo 36 ya R&A yaliyofanyika Afrika Kusini, mmoja akimaliza nafasi ya 14 huku mwingine akijitoa.

    Madina Pict
  5. Tanzania ipo tayari kupindua meza

    KUSHINDA mechi ya ufunguzi wa michuano ya ICC League B dhidi ya Italy na tatu nyingine zinazofuata, ndio azma kuu ya timu ya Tanzania katika ligi hii kimataifa inayoanza kuchezwa rasmi ijumaa hii...

    Kupindua Pict
  6. Madina, Vicky mguu sawa Sauzi

    MADINA Idd na Vicky Elias wamedai zoezi ya kuzisoma changamoto za viwanja vya Leopards Creek, Mpumalanga, Afrika Kusini linaendelea vyema kabla ya michuano ya gofu ya wanawake wa Afrika kuanza...

    Madina Pict
  7. Mount Uluguru kidedea tuzo za madereva

    KLABU ya mbio za magari ya Mount Uluguru imetwaa taji la klabu bora ya mwaka 2024 na kupewa tuzo maalum katika hafla ya utoaji zawadi iliyofanyika mwishoni mwa juma katika Hoteli ya Golden...

    Tuzo Pict
  8. Mbio za mita 3000 kiunzi kirefu miaka 45

    MBIO za mita 3000 kuruka viunzi na maji (steeplechase) zimekuwa ni mtihani usio na majibu kwa miaka 45 sasa tangu Filbert Bayi azitumie kuipatia Tanzania medali ya fedha katika michuano ya...

  9. KO ya Mama imefichua ukweli

    NGUMI za kulipwa ndio mchezo ulioifuatia soka kwa ubora mwaka 2024, na wadau wa michezo wanahofu michezo mingine kuendelea kudorora wakati soka ikidaiwa itazidi kuongoza kwa kutoa ajira 2025.

    New Content Item (1)
  10. Gymkhana kumekucha na Lina PG Tour

    RAUNDI ya tano ya Linar PG Tour inatarajiwa kuanza leo kwenye viwanja vya Dar Gymkhana, kuhitimisha michuano ya gofu ya mwaka huu, huku mshindi akiondoka na Sh8.8 milioni.

Previous

Page 3 of 11

Next