Vigogo MZFA wakaliwa kooni, waitupia TFF msala BAADHI ya wadau wa soka jijini hapa wamemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Mwanza (MZFA), Vedastus Lufano kujiuzulu nafasi hiyo, huku wakiliomba Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)...
Vita Simba, Yanga imeanza kuchangamka LIGI Kuu Bara inazidi kuchangamka ambapo kwa muda mrefu pale kileleni hujaiona Simba, Azam wala Yanga ikikaa. Fountain Gate na Singida Black Stars zimekuwa zikipishana.
Barka atwaa tuzo ya Ballon d’Or KATIKA usiku uliojaa shamrashamra na vionjo vya burudani, Mtanzania Barka Seif Mpanda, ameandika historia baada ya kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya Ballon d’Or of the Champions Dream...
Humoud apewa miwili Zambia Mtanzania Abdulrahim Humoud amesema ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusalia Konkola Blades FC baada ya ule wa awali kutamatika msimu uliopita.
Lina Tour yamuenzi Malinzi uswahilini Madina Idd, Hawa Wanyeche na Angel Eaton, ambao waliiwezesha Tanzania kushika nafasi ya pili mara mbili na nafasi ya tatu mara moja katika mashindano ya ubingwa wa Afrika nzima kwa wanawake,...
Kumekucha CDF Trophy 2024 MSIMU wa tisa wa mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi Tanzania (NMB CDF Trophy 2024) utaanza Ijumaa ya wiki hii, huku wadhamini wakuu, Benki ya NMB ikitangazwa kumwaga Sh35 milioni.
KICHUYA: Ile kona bao Yanga wala Sikudhamiria KICHUYA ni jina kubwa kwenye anga ya michezo nchini kutokana na winga Shiza Ramadhan ambaye kwasasa anakipiga JKT Tanzania kutambulika zaidi kwa jina hilo, lakini unaambiwa jina hilo ni la...
Eto’o: Tanzania inastahili nne CAF RAIS wa Shirikisho la Soka la Cameroon (Fecafoot), Samuel Eto’o ambaye pia ni nyota wa zamani wa Barcelona, Chelsea na Inter Milan, ameeleza umuhimu wa kuboresha nafasi za timu za Afrika katika...
Sunday Spesho ya Ligi Kuu Bara 2024/25 HII ni siku spesho. Ndio, ni Sunday Spesho kwelikweli. Kwani kama wewe ni shabiki wa soka, basi leo hupaswi kuchezea rimoti kabisa. Yaani ukikaa mbele ya runinga leo hubanduki kitini hadi kesho...
Mido Coastal Union aukubali mziki wa Aucho KIUNGO wa Coastal Union, Gift Abubakar amesema, mchezaji anayemvutia katika Ligi Kuu Bara ni kiungo nyota wa Yanga, Khalid Aucho.