Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

687 results for Victoria Melkiad :

  1. PRIME Simba kuibomoa Yanga, yaanza mkakati

    MABOSI wa Simba wameonyesha hawatanii. Baada ya kumvutia waya kiungo kutoka Guinea anayeichezea CS Sfaxien ya Tunisia, safari hii imeigeukia Yanga, ikipiga hesabu ya kuibomoa.

    Maxi Pict
  2. Dabo afichua siri za mastaa kutoka Bongo

    KOCHA wa zamani Azam FC, Youssouf Dabo ameeleza sababu za kuwavuta mastaa wa Bongo kwenda katika klabu anayoinoa kwa sasa ya AS Vita ya DR Congo.

    Dabo Pict
  3. PRIME Kocha ASEC aingiwa ubaridi kisa Simba, afichua siri nzito

    WAKATI mashabiki wa Simba wakisubiria kwa hamu droo ya mechi za robo fainali za Kombe la Shirikisho Afrika ili kujua timu yao itapangwa na nani kuitafuta nusu fainali, timu hiyo imeonekana kuwa...

  4. Kizungumkuti ishu ya Kapama, Fountain Gate na Kagera Sugar

    KIUNGO Nassor Kapama amezua maswali baada ya kuonekana akijifua na Fountain Gate kisha ghafla kurudi chaka lake la zamani wa Kagera Sugar iliyomtambulisha juzi, lakini Mtendaji Mkuu wa klabu...

  5. Ikanga Speed aomba mechi, aanza kusuka mipango

    KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua kwa ajili ya kurejea katika mechi za michuano ya ndani ikiwamo Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho baada ya kutolewa Ligi ya Mabingwa Afrika, huku winga mpya...

  6. PRIME Dili la kiungo Sfaxien Simba lafikia patamu, ishu nzima ipo hivi

    SIMBA haitanii. Ikiwa imeshatinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku ikiongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara, mabosi wa klabu hiyo hawajalala kwani wameanza kusaka mastaa wa msimu ujao...

  7. PRIME Pacome afichua kinachoendelea Yanga, atoa ahadi

    WIKIENDI iliyopita Yanga ilitoka 0-0 na MC Alger, matokeo hayo yaliifanya kushindwa kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikimaliza nafasi ya tatu Kundi A.

    Pacome Pict
  8. PRIME Vaibu la mashabiki lamuumiza Ahoua

    SIMBA inatarajiwa kurudi uwanja wa nyumbani keshokutwa Jumapili kuvaana na CS Constantine ya Algeria, huku kitendo cha kuzuiwa kwa mashabiki wa klabu hiyo kuhudhuria mechi hiyo ya Kundi A ya...

    Ahoua Pict
  9. Bwalya ana kiu kurudi Bongo

    DILI la Rally Bwalya kutua Pamba Jiji limebuma baada ya viongozi wa Napsa Stars anayoichezea kumuwekea ugumu, huku mwenyewe akifunguka ameumia kushindwa kurejea kuja kucheza Ligi Kuu Bara.

    Bwalya Pict
  10. PRIME Pacome amaliza utata Yanga

    MASHABIKI wa Yanga tangu juzi wamekuwa na presha kutokana na kutoonekana mazoezini kwa kiungo mshambuliaji nyota wa timu hiyo, Pacome Zouzoua wakati zikibakia saa chache kabla ya kuvaana na MC...

    Pacome Pict
Previous

Page 19 of 69

Next