Kapo ya Aziz KI, Hamisa Mobeto yawania tuzo SIKU chache baada ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI kufunga ndoa na mwanamitindo, Hamisa Mobetto kapo yao imewekwa kuwania tuzo.
Mgosi aitabiria Simba, Edna apatwa kigugumizi MASHABIKI wa soka nchini wanahesabu saa tu kwa sasa kabla ya Yanga na Simba kushuka uwanjani kesho Jumamosi katika pambano la duru la pili la Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Arajiga kuamua Dabi ya Kariakoo, rekodi zake zipo hivi WAKATI zikisalia siku tatu kabla ya mtanange wa watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba kupigwa, Kamati ya Waamuzi imemteua Ahmed Arajiga kutoka Manyara kuwa mwamuzi wa kati kuamua mchezo huo.
Kiwango cha Samatta PAOK moto! KWA kiwango anachoonyesha Mbwana Samatta katika Klabu ya PAOK kule Ugiriki ni kama kinawapa mtihani viongozi kuamua hatima yake kutokana na mkataba wake kukaribia mwisho.
Bien anavyotoa somo kwa Wabongo MMOJA wa wasanii wanaotamba kwa sasa kwenye muziki Afrika ni Bien wa Kundi la SautiSol la Kenya. Moja ya sifa anazopewa kumhusu, ni uwezo wake wa kufanya shoo za jukwaani kwa maana ya 'live...
Arajiga, Kayoko wapigwa msasa wa VAR WAAMUZI 20 wakiwamo maarufu kama Ahmed Arajiga, Herry Sasii, Ramadhani Kayoko na Tatu Malogo, wanatarajiwa kuingia darasani kuanzia kesho Jumatatu kwa ajili yua kupigwa msasa juu ya teknolojia ya...
WPL kuipisha Samia Women Super Cup LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) inatarajiwa kusimama kwa takriban wiki moja kupisha michuano ya Samia Women Super Cup inayotarajiwa kuanza kesho, kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha.
Mechi mbili kuamua hatma ya Samatta PAOK CHAMA la Mtanzania, Mbwana Samatta limebakiza mechi mbili za kuamua hatma ya kucheza michuano ya Ulaya msimu ujao, ikisaka kumaliza katika nne bora Ligi Kuu ya Ugiriki 'Super League' msimu huu.
Fountain Gate Princess inataka mechi tano FOUNTAIN Gate Princess iliyopo nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu imesema kwa iliko sasa, inahitaji kushinda mechi tano tu ili kujihakikishia kuwa katika nafasi nne za juu.
Gomez aletewa mtu Wydad AC WYDAD AC inaripotiwa kutaka kumsajili mshambuliaji wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini, Relebohile Mofokeng nafasi anayocheza pia Mtanzania Selemani Mwalimu 'Gomez' aliyetambulishwa mwezi...