Si mchezo, huku zimepigwa hat trick 12 WAKATI katika Ligi Kuu Bara zimepigwa hat trick tatu tu hadi sasa kupitia mechi 181, huku kwenye Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), kama hujui zimepigwa jumla 12, huku nyota wa JKT Queens, Stumai...
Stumai anakitaka kiatu cha dhahabu UNAWEZA kusema mshambuliaji wa JKT Queens, Stumai Abdallah amepania kwenye mbio za kuchukua kiatu cha ufungaji bora Ligi Kuu ya Wanawake (WPL).
Neema Paul alivyovunja rekodi MIONGONI Mwa nyota wa kutazamwa kwenye kikosi cha Yanga Princess ni Neema Paul anayemudu kucheza winga zote mbili.
Baada ya ubingwa, Clara akitaka kiatu Saudia MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayewasha moto katika klabu ya Al Nassr, Clara Luvanga amesema mabao 15 aliyofunga yanampa hamasa ya kuwania kiatu cha dhahabu huku supastaa wa dunia...
Mlandizi kuaga WPL? HILI ni moja ya maswali ambayo pengine kwa wadau wa soka la wanawake wanalo jibu juu ya mwenendo wa mabingwa wa kihistoria, Mlandizi Queens.
Banda aiponza Richard Bay, kisa Sh 360 Milioni RICHARD Bay ya Afrika Kusini aliyowahi kuichezea Beki Kisiki Mtanzania, Abdi Banda imefungiwa moja kwa moja kusajili wachezaji wa ndani na nje hadi itakapomlipa nyota huyo Milioni 360 za...
Makambo apewa mwaka Hessenliga NYOTA wa Kitanzania, Athuman Masumbuko 'Makambo' amesema amesaini mkataba wa mwaka mmoja na klabu ya SC Viktoria inayoshiruiki Ligi ya Ujerumani maarufu Hessenliga.
Serengeti Girls yaondoshwa kufuzu Kombe la Dunia TIMU ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17, Serengeti Girls, leo jioni imeondoshwa kwenye mashindano ya kufuzu Kombe la Dunia baada ya kukubali kipigo cha jumla ya mabao 4-0 dhidi ya...
Hawa hapa wakali wa 'live performance' KWENYE moja ya mijadala ya kiburudani inayoendelea kutrendi mitandaoni ni kuhusiana na ishu ya kuimba live baina ya mtayarishaji wa zamani wa muziki, Master Jay ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya...
Serengeti Girls kanyaga twende TIMU ya taifa ya wanawake chini ya miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kesho itashuka Uwanja wa Levy Mwanawasa, Zambia kwenye mchezo wa marudiano kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia.