LEMA: Beki wa Nabi anayesotea namba Pamba KIKOSI cha Pamba Jiji ya Mwanza kimeshacheza mechi 24 za Ligi Kuu Bara, lakini katika zote beki wake wa kulia, Yunus Lema hajaonja hata dakika moja akiishia benchini ama jukwaani kutokana na...
Minziro: Ni ‘do or die’ dhidi ya Tabora United Baada ya kuambulia sare ya 1-1 nyumbani dhidi ya Namungo FC katika mchezo uliopita kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Kocha Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema kesho ni...
Mang’ombe akataa unyonge Tabora United Kocha Mkuu wa Tabora United, Genesis Mang’ombe amesema hatakubali kuwa mnyonge na kuruhusu kikosi chake kucheza mchezo wa nne bila kupata ushindi huku akitaja mambo yaliyowaangusha kwenye mechi...
Pamba mambo bado, yalazimishwa sare na Namungo nyumbani Safari ya Pamba Jiji kutoka nafasi za chini na kusogea juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara bado haijawa rahisi, kwani leo imeshindwa kufurukuta nyumbani katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza...
Mgunda ala kiapo Namungo, ajipa matumaini mechi saba KOCHA Mkuu wa Namungo FC, Juma Mgunda amesema hana wasiwasi na kikosi chake kwenye vita ya kubaki Ligi Kuu Bara kwani amefanya maandalizi ya kutosha yatakayowawezesha kuvuna alama za kutosha na...
Minziro atoa kauli nzito dhidi ya Namungo KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix 'Minziro' amesema ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya Mashujaa FC kwenye Kombe la Shirikisho (FA) na kutinga robo fainali umekipa kikosi chake motisha na...
ANTWI: Mghana anayeamini Simba, Yanga zitambeba Black Stars LICHA ya kuuanza msimu huu vibaya, lakini sasa unaweza kusema amejipata baada ya kupata uhakika wa namba ili kuzima dimba la kati katika kikosi cha Pamba Jiji ya Mwanza kinachopambana kujinasua...
Kilichoiponza Kirumba chatajwa, Mtanda atoa siku saba Baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuufungia Uwanja wa CCM Kirumba uliopo jijini Mwanza kutumika kwa mechi mbalimbali, imebaibishwa kuwa eneo la kuchezea (pitch), kukosekana kwa maji...
Pamba Jiji yapata ajali, wachezaji wapo salama MSAFARA wa Pamba Jiji uliokuwa unatoka Dodoma kwenda Morogoro kwa ajili ya mchezo wa hatua ya 32 Bora wa Kombe la Shirikisho la CRDB (FA) dhidi ya Kiluvya United, umepata ajali alfajiri ya jana...
Vita ya 'Top Four' yaitesa Tabora United, yaanika ramani ya vita Benchi la ufundi la Tabora United, limekiri kuwa vita yake na Singida Black Stars kuwania nafasi moja mojawapo kati ya nne za juu katika Ligi Kuu Bara inawatia presha ambayo inawalazimisha...