Kocha Yanga atua Ismaily ya Misri BAADA ya kuipa Yanga mataji matatu aliyekuwa kocha wa Yanga, Miloud Hamdi atambulishwa katika klabu ya Ismaily ya Misri kwa mkataba wa mwaka mmoja.
PRIME Yanga ikizubaa tu Miloud anatua Uarabuni, dili lake lipo hivi BAADA ya kuipa Yanga mataji matatu aliyekuwa kocha wa Yanga, Miloud Hamdi inaelezwa kwamba yupo kwenye hatua za mwisho kumalizana na Ismaily ya Misri kwa mkataba wa mwaka mmoja.
PRIME Makombe matatu yawagawa mabosi Yanga ULILIONA vaibu la Yanga juzi kuanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere pale Dar? Je unajua lile vaibu lilitokana na nini? Kina nani walioteka ile shoo? Sikia, achana na mambo...