Rekodi 60 matata za Ligi ya Mabingwa Ulaya

LONDON,ENGLAND.

1. KLABU iliyoshinda Ligi ya Mabingwa Ulaya mara nyingi, Real Madrid

2. Nchi iliyoshinda mara nyingi taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya, Hispania

3.Nchi iliyotoa wawakilishi wengi kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Ujerumani

4.Jiji lililokuwa mwenyeji mara nyingi fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, London

5. Nchi iliyokuwa mwenyeji wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mara nyingi, Ujerumani

6. Nchi pekee yenye majiji sita tu klabu zilizochukua ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, England

7.Klabu iliyoshinda Ligi ya Mabingwa Ulaya mara nyingi kuliko ubingwa wa ndani, Nottingham Forest

8. Nje ya London, jiji jingine lililowakilishwa na timu tatu hatua ya makundi ndani ya msimu mmoja, Athens

9.Jiji pekee kuwa na timu mbili zilizofika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Madrid

10.Uwanja pekee unaotumika na timu mbili ambazo ziliwahi kukutana kwenye mtoano, San Siro

11.Klabu iliyofunga mabao mengi kwenye hatua ya makundi, Paris Saint-Germain

12.Klabu iliyopata pointi chache lakini iliongoza kundi lake, Juventus

13.Klabu iliyofuzu mfululizo hatua ya makundi, Real Madrid

14. Klabu iliyoshinda mechi nyingi za hatua ya mtoano, Real Madrid

15.Klabu iliyoshinda mechi nyingi mfululizo uwanja wa nyumbani, Bayern Munich

16.Klabu iliyocheza mechi nyingi bila ya kupoteza, Manchester United

17.Klabu iliyocheza mechi nyingi bila ya kushinda, Steaua Bucuresti

18.Klabu iliyotoka sare mechi zote sita kwenye hatua ya makundi, AEK Athens

19.Bingwa pekee wa Ligi ya Mabingwa Ulaya aliyecheza nusu fainali moja tu, Aston Villa

20.Klabu iliyoshinda ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa rekodi ya asilimia 100, Bayern Munich

21.Klabu iliyoshinda mechi chache na kuibuka Mabingwa Ligi ya Mabingwa Ulaya, PSV Eindhoven

22.Klabu iliyocheza fainali tatu za Ligi ya Mabingwa Ulaya na kupoteza zote, Atletico Madrid

23.Klabu ya kwanza kushinda mataji matatu msimu mmoja, Ligi ya Mabingwa Ulaya ikiwamo, Celtic

24.Klabu ya kwanza kushinda ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya ulipoanzishwa (1993), Juventus

25.Klabu iliyoshinda kwa idadi kubwa ya mabao ya jumla kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Benfica

26.Mchezaji aliyecheza mechi nyingi Ligi ya Mabingwa Ulaya, Cristiano Ronaldo

27.Mchezaji aliyefunga mabao mengi, Cristiano Ronaldo

28.Mchezaji mwenye umri mdogo kushinda tuzo ya ufungaji bora kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Erling Haaland

29.Mchezaji mwenye umri mkubwa kufunga kwenye msimu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Ferenc Puskas

30.Mchezaji pekee kuwa kinara wa mabao Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kombe la Dunia na Euro, Gerd Muller

31.Mchezaji pekee kufunga hat-trick akiwa na klabu tatu tofauti, Robert Lewandowski

32.Mchezaji mwenye umri mdogo kufunga hat-trick kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Raul

33.Mchezaji mwenye umri mkubwa kufunga bao Ligi ya Mabingwa Ulaya, Francesco Totti

34.Mchezaji mdogo zaidi kufunga bao kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Ansu Fati

35.Mchezaji aliyefunga bao la haraka zaidi Ligi ya Mabingwa Ulaya, Roy Makaay

36.Mchezaji aliyezifungia klabu sita tofauti kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Zlatan Ibrahimovic

37.Mchezaji pekee kufunga bao kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Europa League, Diego Godin

38.Mchezaji aliyefunga bao fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Kombe la Dunia, Mario Mandzukic

39.Mchezaji aliyepiga asisti nyingi Ligi Mabingwa Ulaya, Cristiano Ronaldo

40.Mchezaji pekee aliyeshinda ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya akiwa na klabu tatu tofauti, Clarence Seedorf

41.Mchezaji wa mwisho kushinda ubingwa mara mbili mfululizo na timu mbili tofauti, Samuel Eto’o

42.Mchezaji wa mwisho kushinda ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya na Kombe la Dunia mwaka mmoja, Raphael Varane

43.Mchezaji aliyeshinda taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya na Copa Libertadores mwaka mmoja, Willy Caballero

44.Mchezaji mwenye umri mkubwa kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya, Marco Ballotta

45.Mchezaji kijana kucheza kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Youssoufa Moukoko

46.Kipa aliyeokoa penalti nyingi Ligi ya Mabingwa Ulaya, Iker Casillas

47.Kipa aliyedaka mechi nyingi bila ya kuruhusu bao, Jens Lehmann

48.Mchezaji aliyeshinda ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya na klabu mbili baada ya mwaka 1993, Daniel Sturridge

49.Mchezaji pekee aliyefunga bao fainali ya Mabingwa Ulaya dhidi ya klabu yake ya zamani, Kingsley Coman

50.Mchezaji pekee aliyeshinda ubingwa mara sita, Francisco Gento

51.Kocha aliyekaa benchi kwenye mechi nyingi za Ligi ya Mabingwa Ulaya, Sir Alex Ferguson

52.Kocha pekee kushinda mataji manne ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Carlo Ancelotti

53.Kocha wa mwisho kupoteza mechi zote tatu za fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya, Jurgen Klopp

54.Mtu wa mwisho kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya kama mchezaji na Kocha, Zinedine Zidane

55.Kocha pekee kufika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mara mbili mfululizo na klabu mbili tofauti, Thomas Tuchel

56.Nchi iliyotoa makocha wengi walioshinda Ligi ya Mabingwa Ulaya, Italia

57.Mtu pekee kushinda ubingwa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kombe la Dunia na Euro akiwa kocha, Vicente Del Bosque

58.Kocha wa mwisho kushinda Europa League na Ligi ya Mabingwa Ulaya ms imu uliofuata, Rafael Benitez

59.Kocha mwe nye umri mdogo kus hinda ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Pep Guardiola

60.Refa aliyecheza mechi nyingi za Ligi ya Mabingwa Ulaya, Felix Brych.