Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Messi, Barca ndoa yaiva

MABOSI wa Barcelona wanatarajia kutoa taarifa ya staa wa Argentina Lionel Messi kuwa amesaini mkataba wa miaka mitano katika siku chache zijazo.

Mkataba wa Messi na Barca ulimalizika mapema katika dirisha hili na ilichukua muda hadi kufikia makubaliano ya kumsainisha tena mkataba mpya kutokana na sababu za kiuchumi.'