Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Wasanii wa vichekesho watawala Kwa Mkapa

Wasanii Pict
Wasanii Pict

Muktasari:

  • Wasanii hao ambao baadhi wamevalia jezi za Simba ni pamoja na Asma Majeed, Mwaisa, Oka Martin na Carpoza.

IKIWA imesalia saa Moja kabla ya kuanza kwa mchezo wa Kombe la shirikisho kati ya Simba dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola, wasanii mbalimbali wa vichekesho tayari wameshawasili uwanjani hapa.

Wasanii hao ambao baadhi wamevalia jezi za Simba ni pamoja na Asma Majeed, Mwaisa, Oka Martin na Carpoza.

Mbali ya hao pia yupo muigizaji wa Bongo Movie ambaye ni shabiki wa Simba Gabo Zigamba.

Hii inakuwa ni mechi ya ufunguzi kwa Kundi A ambalo mbali ya Simba na Bravo pia zipo CS Constantine na CS Sfaxien ambazo zitacheza saa 1:00 usiku.