Picha Kanuni yambeba Aziz KI kwa Saido Ijumaa, Februari 09, 2024 NYOTA wa Yanga, Stephane Aziz KI amejikusanyia jumla ya pointi zake 19 katika Ligi Kuu Bara msimu huu na kumpiku kiungo mshambuliaji wa Simba Mrundi, Saidi Ntibazonkiza 'Saido' mwenye pointi sita akiwa na kikosi hicho cha Msimbazi. Photo: 1/3 View caption Photo: 2/3 View caption Photo: 3/3 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Yanga yaficha wawili wapya KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofungwa Januari 15 mwaka huu, Yanga ilitambulisha wachezaji wawili pekee ambao ni beki Israel Mwenda kutoka Singida Black Stars na Jonathan Ikangalombo anayemudu...
PRIME Kocha ASEC aingiwa ubaridi kisa Simba, afichua siri nzito WAKATI mashabiki wa Simba wakisubiria kwa hamu droo ya mechi za robo fainali za Kombe la Shirikisho Afrika ili kujua timu yao itapangwa na nani kuitafuta nusu fainali, timu hiyo imeonekana kuwa...
Aliyetakiwa Yanga atua Kaizer Chiefs UNAMKUMBUKA yule straika mwili jumba, Makabi Lilepo aliyekuwa akiwindwa na Yanga tangu msimu uliopita ili kuja kuziba nafasi ya Fiston Mayele? Unaambiwa jamaa huyo aliyekuwa enzi hizo Al Hilal ya...