Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1871 results for Charity James :

  1. Ni Sowah tena Singida BS ikiikaanga Fountain Gate

    ACHANA na ushindi wa mabao 3-0 walioupata Singida Black Stars, ishu ni mshambuliaji wa timu hiyo, Jonathan Sowah ambaye ametupia bao lake la nane msimu huu.

  2. Simba, Yanga kukipiga Zanzibar

    MABINGWA watetezi wa wa Kombe la Muungano, Simba wanatarajia kushiriki mashindano hayo yanayotarajia kuanza Aprili 21 hadi 27, mwaka huu, Zanzibar.

  3. PRIME Kauli ya Kagoma kwa Simba usiku

    LICHA ya kutokuwa na uzoefu mkubwa kimataifa timu yake ikicheza mchezo wa kwanza hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika, kiungo Yusuph Kagoma amewatoa hofu wanasimba.

    KAGOMA Pict
  4. Maxime asaka dawa ya mabao Dodoma Jiji

    KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime amesema moja ya kazi anayoendelea kuifanya kwenye uwanja wa mazoezi ni kuinoa zaidi safu yake ya ushambuliaji ambayo imekuwa ikipoteza nafasi...

    MEXIME Pict
  5. Malale Hamsin atua Mbeya City

    UONGOZI wa Mbeya City umemalizana na aliyekuwa kocha wa JKT Tanzania Malale Hamsin baada ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo kutimkia Mashujaa.

  6. Julio ashtukia jambo Kiluvya United

    KOCHA mpya wa Kiluvya United, Julio Elieza amesema kwa nafasi iliyopo timu hiyo kwa sasa bado haiwapi kiburi cha kuamini moja kwa moja kama watabakia kwa msimu ujao, hivyo anapambania kuhakikisha...

    JULIO Pict
  7. Kocha JKT ataja mbinu 3 zitakazo mbeba Ligi Kuu

    LIGI inatarajia kurejea keshokutwa ambapo kocha wa JKT Tanzania, Ahmed Ally ametaja mbinu tatu zitakazombeba kwenye mechi saba zilizobaki huku akitambia rekodi ya uwanja wa nyumbani kuwa hana...

  8. Mgunda: Msihofu, Namungo haishuki

    WAKATI Namungo inapambana kujiengua kwenye hatari ya kushuka daraja, Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema anafahamu mtihani alionao, lakini akiwatoa hofu mashabiki kuwa wana nafasi ya kufanya vizuri...

  9. Singida Black Stars ni Azam FC na Tabora United tu!

    KOCHA Mkuu wa Singida Big Stars (SBS), David Ouma amesema Azam FC na Tabora United zimeshika hatma ya timu hiyo kumaliza nafasi tano za juu kutokana na kuwa na mechi na timu hizo ambazo pia...

    SINGIDA Pict
  10. Kally asaka dawa mechi saba KMC

    LICHA ya kushindwa kubebwa na rekodi ya kupata matokeo mazuri mechi za ugenini Ligi Kuu Bara, kocha wa KMC, Kally Ongala amesema ametafuta dawa ya kupata matokeo mechi saba zilizobaki huku akiwa...

    KALLY Pict
Previous

Page 10 of 188

Next