Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1871 results for Charity James :

  1. Siri ya mafanikio ya kaseja kagera

    APRILI 4, mwaka huu, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Juma Kaseja alitimiza mwezi mmoja tangu akabidhiwe timu hiyo akichukua mikoba ya Melis Medo aliyetimkia Singida Black Stars.

  2. Yanga yatua kwa kiungo Kenya Police

    YANGA imeanza mapema harakati za kuboresha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao huku ikipiga hodi katika Ligi Kuu Kenya kwenye kikosi cha Kenya Police FC.

  3. Pamba Jiji, Tabora United kukumbushia yaliyopita?

    PAMBA Jiji itakuwa inakumbuka kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Tabora United mwaka jana katika mechi ya duru la kwanza ya Ligi Kuu Bara, licha ya kwamba tangu kuanza kwa duru la pili timu hiyo...

    PAMBA Pict
  4. PRIME Dube ashtua Yanga, ataka rekodi

    MSHAMBULIAJI wa Yanga, Prince Dube anakimbiza mwizi kimya kimya kwa kufukuzia rekodi yake mwenyewe licha ya kuwa na msimu bora zaidi ndani ya kikosi cha timu hiyo.

    DUBE Pict
  5. Matano awaweka kikao mabeki Fountain Gate

    KOCHA Mkuu wa Fountain Gate, Robert Matano amesema kipigo ilichokipata timu hiyo na kupoteza kwa mabao 3-0 dhidi ya Singida Black Stars kinaendelea kuiweka kwenye hali mbaya safu yake ya ulinzi...

    Matano Pict
  6. Mtibwa Sugar bado 9 tu Championship

    Mtibwa Sugar kwa sasa inahitaji pointi tisa tu kurejea Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuteremka msimu uliopita.

    Mtibwa Pict
  7. Kocha Singida Black Stars amsifu Sowah

    BAADA ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate, Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesifu juhudi zilizooneshwa na wachezaji wake katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa...

    Sowah Pict
  8. Pacome apata jeuri ya ubingwa

    KIWANGO bora kinachoendelea kuonyeshwa na Yanga huku ikipata ushindi mfululizo ugenini na nyumbani, imempa jeuri kiungo mshambuliaji wa timu hiyo Yanga, Pacome Zouzoua ambaye ameliambia...

    PACOME pict
  9. Kali Ongala siku 139 mechi tatu

    KOCHA Mkuu wa KMC, Kali Ongala amepata ushindi wake wa tatu ndani ya timu hiyo katika kipindi cha siku 139 tangu akabidhiwe kikosi hicho Novemba 14, 2024 akichukua nafasi ya Abdihamid Moallin...

    ONGALA Pict
  10. KenGold, Kagera Sugar na mtihani mzito nyumbani

    RAUNDI ya 24 ya Ligi Kuu Bara inaendelea Alhamisi hii kwa michezo mitatu kupigwa huku miwili ikiwa ya mapema kuanzia saa 10:00 jioni na mmoja saa 1:00 usiku.

Previous

Page 9 of 188

Next